Nini tatizo? Binti mrembo anajua kuvaa, msomi ila ananuka mdomo

Sidhani kuna watu wanashinda wiki hapigi mswaki au sanasana akutane na mswaki wa kijiti na hanuki mdomo hata robo.
 
[emoji3]demu aliua
 
mara nyingi harufu hukaa kwenye ulimi sio katika meno,
na watu wengi huwa wanasugua meno na kusahau ulimi, na hapo kwemye ulimi ndio huwa panatoa harufu so unaweza ukasugua ulumi tu na meno yawe machafu na harufu isitoke.

kipindi nikiwa shule ya msingi alikuja baba yetu mdogo yeye kila baada ya mlo anasugua meno hapo ni mara tatu kwa siku, lakini akikuongelea tu usoni aiseeee
unatamani ukimbie ukiwa na presha inapanda mda uouo(kiding)
Ila tulipomuambia kuhusu kusugua ulimi basi harufu haikuwahi kutoka tena, wale wanaokuwa wanashida ni wale ambao ulimi anausugua lakini harufu unakuta baada ya masaa kama manne au matano inaanza,
lakini pia unapokuwa unasugua meno sio lasha lasha kama wengi walivyozoea,
kabla haujaanza kusukutua unapaswa usugue hadi ile harufu ya dawa iwe imeisha kunywani mwako hapo ndio unaanza sasa kusukutua na maji,
tmesimama kwenye gari nilikuwa naongea na simu kuna bint alikuwa mbele yangu basi baada ya kumaliza kuongea nasimu kwa mara ya kwanza binti akaniomba namba,
baadaye anasema kavutiwa na harufu ya mdomo wangu,
khaaa nikashangaa sana kuingia google kuangalia angalia nikaja ona kumbe ukiwa na harufu fresh kinywa mara nyingi wanawake wengi hupenda kupata walau denda tu.
ha ha ha anyway tuachane na hayo ila muhimu azingatie kusugua ulimi, anywe maji ya kutosha pia, apende kutumia matunda haswa kama matikiti na nanasi au freshi juisi yake.
asikae mda mrefu pasipo kwenda haja pia la msingi ikizidi zaidi ya hapo akaangalie bakiteria hosipitali
 
Siku moja jitolee tafuta mouth wash nzuri mpelekee mwambie asukutue baada ya kupiga mswaki inalinda meno kutoboka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…