Nini tiba ya hali hii?

Nini tiba ya hali hii?

bab-D

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
1,215
Reaction score
322
kuna jamaa yangu yeye baada ya kila kumaliza kuoga na akisha jifuta maji tu au akikauka lazima mwili uanze kuwasha atajikuna kama dakika 20 hivi,tatizo hili linadawa?
 
Mara chache imeshanitokea lakini niligundua kujipakaa mafuta/lotion immediately ilinisaidia. Inawezekana ni kukauka kwa ngozi tu? Sina hakika
 
Mara chache imeshanitokea lakini niligundua kujipakaa mafuta/lotion immediately ilinisaidia. Inawezekana ni kukauka kwa ngozi tu? Sina hakika

Yaani hata ukijipaka mafuta papo hapo kujikuna lazima nabaada ya mda inaacha, kwa sasa ana mda mrefu tu na hali hii zaid ya 10years. na hospitali alipewa majibu ambayo hakutaka kurudi tena. eti aoge bila sabuni we utaweza?
 
Poleni maana najua mpo wengi wenye hili tatizo, sometimes nahisi labda ni genetical factors ama nn sijui.

Fanyeni hivi huenda ikapunguza kwa kiasi kikubwa (sio lazima):

1. Ukishaoga usijifute na taulo acha mwili ujikaushe wenyewe, ukijifuta tu kosa utawashwawashwa hadi uchanganyikiwe. Jifute kichwani tu.

2. Kama ww sio mtu wa kupenda kuoga na kujisugua, basi walu ujisugue mara mbili kwa wiki (jisugue kikwelikweli sio kimasikhara)

3. Pendeni kuoga kwa kutumia sabuni ya magadi (ile ya mitaani kwetu).

Hizi njia namna tatu hizi zitakupunguzieni kwa kiasi fulani hivi.

NB: Mrejesho ni muhimu sana kwa ajili ya kuwasaidia wengine, kama upo home unaweza kujaribu hata sasa hivi. Furahia maisha!
 
Poleni maana najua mpo wengi wenye hili tatizo, sometimes nahisi labda ni genetical factors ama nn sijui.

Fanyeni hivi huenda ikapunguza kwa kiasi kikubwa (sio lazima):

1. Ukishaoga usijifute na taulo acha mwili ujikaushe wenyewe, ukijifuta tu kosa utawashwawashwa hadi uchanganyikiwe. Jifute kichwani tu.

2. Kama ww sio mtu wa kupenda kuoga na kujisugua, basi walu ujisugue mara mbili kwa wiki (jisugue kikwelikweli sio kimasikhara)

3. Pendeni kuoga kwa kutumia sabuni ya magadi (ile ya mitaani kwetu).

Hizi njia namna tatu hizi zitakupunguzieni kwa kiasi fulani hivi.

NB: Mrejesho ni muhimu sana kwa ajili ya kuwasaidia wengine, kama upo home unaweza kujaribu hata sasa hivi. Furahia maisha!

Chaajabu:-
1.ukijisugua ndo balaa utawasha nazan saa inaweza fika
2. ukipaka sabuni zaidi ya mara moja ndo muwasho unavyo kuja kuongezeka
Hii sijui ni nini
 
Chaajabu:-
1.ukijisugua ndo balaa utawasha nazan saa inaweza fika
2. ukipaka sabuni zaidi ya mara moja ndo muwasho unavyo kuja kuongezeka
Hii sijui ni nini

1. Kuwashwa ukijisugua ni kweli, lakini baada ya muda itatulia and then utaendelea sasa kuoga bila kuwashwa kwa muda mrefu kidogo (kumbuka unajisugua aidha mara mbili ama hata moja kwa wiki moja hivyo sio mara nyingi sana)

2. Hii ni kwa kuwa hujisugui vizuri sana, jisugue hasaaa ndo maana pale nimesisitiza kujisugua kikwelikweli hata kama muda huo unawashwa!

Furahia maisha!
 
Asante sana wana jf kwa ushauri wenu. asante King'asiti, asante UNDENIABLE Kwa ushauri wenu naona naelekea mafanikio yaani sasa hivi natoka kuoga, haaa nimejisugua, tena kwa jiwe pia wife kanisaidia mgongoni, kweli nimesugua,chaajabu kabla sijakauka muwasho ulianza lakini sio mkali kama zamani, sasa nimekauka na nimepaka mafuta muwasho haupo tena. du maajabu toka 2002 nasumbuka leo napata dawa tena rahiiisi, kweli JF sitoki. shukrani sana
 
Asante sana wana jf kwa ushauri wenu. asante King'asiti, asante UNDENIABLE Kwa ushauri wenu naona naelekea mafanikio yaani sasa hivi natoka kuoga, haaa nimejisugua, tena kwa jiwe pia wife kanisaidia mgongoni, kweli nimesugua,chaajabu kabla sijakauka muwasho ulianza lakini sio mkali kama zamani, sasa nimekauka na nimepaka mafuta muwasho haupo tena. du maajabu toka 2002 nasumbuka leo napata dawa tena rahiiisi, kweli JF sitoki. shukrani sana
King'asti amelala ila nitampa salamu
 
Last edited by a moderator:
kuna jamaa yangu yeye baada ya kila kumaliza kuoga na akisha jifuta maji tu au akikauka lazima mwili uanze kuwasha atajikuna kama dakika 20 hivi,tatizo hili linadawa?

Hii inasababishwa na ngozi kuwa kavu kupita kiasi. Akijipaka lotion mara baada ya kuoga inasaidia. Nadhani pia kuna sabuni special for dry skin.
 
kuna jamaa yangu yeye baada ya kila kumaliza kuoga na akisha jifuta maji tu au akikauka lazima mwili uanze kuwasha atajikuna kama dakika 20 hivi,tatizo hili linadawa?
Ikiwa ni wewe au huyo jamaa yako anayo hayo matatizo ushauri umetolewa hapo chini ikiwa bado hajapona huyo jamaa yako au ndio wewe hujapona waweza kunitafuta mimi dawa ya kukutibu ninayo kunipata mimi bonyeza hapa.Mawasiliano

Maada nzur,hata mim ninalo tatzo hlo na cjui tiba yke.
Mkuu consciousluca Dawa ninayo ya kuweza kukutibia ukiweza nitafute kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
 
Last edited by a moderator:
Mara chache imeshanitokea lakini niligundua kujipakaa mafuta/lotion immediately ilinisaidia. Inawezekana ni kukauka kwa ngozi tu? Sina hakika

Pia kuna Nivea lotion ambayo ni special kutumia ukiwa bafuni ila ni a bit expensive kuliko hizi zingine...nafikiri imeandikwa "on showering" if am not mistaken
 
Back
Top Bottom