Ahsante kwa ushauri mkuuHii ndio sababu inayofanya kutoa hio harufu,kwanza nenda kanunue ndimu weka kwapani kwa dakika 10 halafu sugua kwa dakika 3 hadi 5. Halafu nenda maduka ya manukato nunua deodorants inaitwa SURE ukipata ya spray ndio nzuri lakini hata ya roll on pia sawa tu.
Mkuuu kwa bahati mbaya nakunywa maji mengi sana hadi najishangaa mwenyeweMkuu kunywa maji mengi ili kulifanya jasho lako kuwa jepesi, yaani una neutralize kemikali zilizo katika jasho na maji hakika utakuwa salama, Maji!Maji! Maji!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo pamoja mkuu fanya hilo shauri na hio kutumia ndimu fanya mara moja kwa wiki(mfano weka ndimu/limau siku moja kwa wiki) baada ya mwezi hio harufu haitakuwepo tena usisahau kutumia hio SURE.Ahsante kwa ushauri mkuu
Timetable ya kawaida pia sio mbaya kama Mara mbili au tatu its oky?!!Kuonga huko ni Mara moja kwa siku ama
Sawa mkuu Ahsante nitafanyia kazTimetable ya kawaida pia sio mbaya kama Mara mbili au tatu its oky?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bonge la elimu!Sawa mkuu
Hii ndio sababu inayofanya kutoa hio harufu,kwanza nenda kanunue ndimu weka kwapani kwa dakika 10 halafu sugua kwa dakika 3 hadi 5. Halafu nenda maduka ya manukato nunua deodorants inaitwa SURE ukipata ya spray ndio nzuri lakini hata ya roll on pia sawa tu.
Ongeza hadi ujisahauMkuuu kwa bahati mbaya nakunywa maji mengi sana hadi najishangaa mwenyewe
Anha basi jaribu hiiKutokwa na harufu mbaya kwenye makwapa hata kama umekoga.