Nini tiba ya tatizo la kutokwa na damu puani?

Nini tiba ya tatizo la kutokwa na damu puani?

Nimenda hii Sasa hawezi kuzuia hili tatizo kwa muda ama Moja kwa Moja mpaka aka CT scan
Sasa CT Scan ni kwaajili ya kuangalia tuuh muundo wa mishipa ya sehemu Fulani ilivyo.......sasa kama muundo wa mishipa hiyo kwenye sehemu husika ipo tofauti na inavyotakiwa basi hatua nyingine zitafuatwa .....


Ila kuzuia Kwa muda mshauri tuuh ajaribu kufanya kazi zake sehemu zenye kivuli itasaidia,pia kama ikiwa inatoka awe anajikanda na maji ya baridi kwenye uso huku akiwa amebana pua kuelekea juu Kwa sekunde kadhaa


Ila kama ikiwa bado Tena siku nyingine inatoka Baada ya kufanya yote haya basi mshauri aende tuu hospitalinj
 
Sasa CT Scan ni kwaajili ya kuangalia tuuh muundo wa mishipa ya sehemu Fulani ilivyo.......sasa kama muundo wa mishipa hiyo kwenye sehemu husika ipo tofauti na inavyotakiwa basi hatua nyingine zitafuatwa .....


Ila kuzuia Kwa muda mshauri tuuh ajaribu kufanya kazi zake sehemu zenye kivuli itasaidia,pia kama ikiwa inatoka awe anajikanda na maji ya baridi kwenye uso huku akiwa amebana pua kuelekea juu Kwa sekunde kadhaa


Ila kama ikiwa bado Tena siku nyingine inatoka Baada ya kufanya yote haya basi mshauri aende tuu hospitalinj
Asante mkuu nashukuru sana
 
Nilizaliwa na Tatizo la kutoka na damu puani ila sasa halipo tena tangu 2009/2010 -2023.
1. Nikitembea kwenye jua kali nilikuwa lazima nitoke damu puani
2. Nikiumwa lazima nitoke damu puani au nikianza kupona, damu ilikuwa inatoka puani tena inatoka nyingi sana mpk unalowanisha kitambaa, unaweka kwenye paji la uso huku umelala chali. Ilinitesa sana maana shuka, nguo zilichafuka damu.
Nakumbuka mwaka 2009 au 2010 sina kumbukumbu vizuri ila mwaka mojawapo.
Kulikuwa kuna mahubiri ya walokole, wanahubiri. Sasa baada ya mahubiri, wakasema walio na shida mbalimbali waje mbele. Yesu kristo wa nazaleti aliye hai yupo hapa, atatenda miujiza. Nikapita mbele, nikaombewa tena nakumbuka alinishika mkono kichwani huku kimoyomoyo nami nakemea kuhusu tatizo la kutoka damu puani.
Nilivyotoka pale kwenye mahubiri 2009/2010 tangu sasa hivi 2023 sijawahi kutokwa na damu puani. Natembea juani, naumwa lkn sijawahi tena kutoka damu puani.
Kuna Kenge watapinga kuwa si nguvu za Mungu (Yesu) zilizokuponya kwa imani uliyokuwa nayo.
 
Back
Top Bottom