Nini tofauti kati ya ballistic missile na ICBM?

Nini tofauti kati ya ballistic missile na ICBM?

ITR

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
6,096
Reaction score
16,390
Wazee tuelimishane kidogo hivi no tofauti gani kati ya ballistic missile ya kawaida na ballistic ICBM missile.

Maana kuna taarifa nimeiona kwenye chanzo kimoja cha kijeshi kinasema kuwa Iran imefanya majaribio ya kombora lake la kwanza la ICBM.

Mimi ninavyo jua ballistic missile ikisha kuwa na uwezo wa kusafiri zaidi ya km 1500 ina sifa za ICBM na Iran anayo mengi.

Screenshot_20241110-075038.png
 
Wazee tuelimishane kidogo hivi no tofauti gani kati ya ballistic missile ya kawaida na ballistic ICBM missile.
Maana kuna taarifa nimeiona kwenye chanzo kimoja cha kijeshi kinasema kuwa Iran imefanya majaribio ya kombora lake la kwanza la ICBM.
Mimi ninavyo jua ballistic missile ikisha kuwa na uwezo wa kusafiri zaidi ya km 1500 ina sifa za ICBM na Iran anayo mengi.
Navyojua ICBM ni ballistic missle yenye range kubwa zaidi ndo maana inaweza kukross hata bara mmoja
 
Balistic ni Powerd and guided missaile,sasa hio inaweza kuwa ni ya masafa mafupi au maref, ICBM maana yake hio powerd and guuded ina uwezo wa kuruka kutoka Bara moja hadi jingine mfani kutoka Mashariki ya kati hadi Ulaya au Africa.

Kule Ukrine Russian anayatumua sana Balistic Missa ila hajawahi tumia ICBM kule Ukrine
 
Balistic ni Powerd and guided missaile,sasa hio inaweza kuwa ni ya masafa mafupi au maref, ICBM maana yake hio powerd and guuded ina uwezo wa kuruka kutoka Bara moja hadi jingine mfani kutoka Mashariki ya kati hadi Ulaya au Africa.

Kule Ukrine Russian anayatumua sana Balistic Missa ila hajawahi tumia ICBM kule Ukrine
Inamaa inakuwa na nguvu kubwa zaidi ya ballistic missile za kawaida sio?
 
tofauti gani kati ya ballistic missile ya kawaida na ballistic ICBM missile.
ICBM maana yake hio powerd and guuded ina uwezo wa kuruka kutoka Bara moja hadi jingine mfani kutoka Mashariki ya kati hadi Ulaya au Africa.
Uzi ufungwe.

Tofauti kuu ni umbali. Likivuka umbali wa bara moja kwenda lingine linaitwa ICBM.
 
ICBM =inter-continental ballistic missile
BM = ballistic missile

Tofauti ni masafa ya kusafiri. Ukiongeza speed ikavuka mara 25 ya speed ya sauti ndio unapata supersonic , chini ya hapo unapata subsonic.

Mengine wameshasema, huwezi tuma hili kombora bila kuwa na uhakika litapiga shabaha with accuracy of 99.999%. Yani ukiweka passo yako sehemu iwe target hapo kigamboni, Mrusi kutoka Moscow zaidi ya km 10,000 akiizoom awipasue katikati, akikosa sana sana kombola litapiga tairi la kushoto au juu ya boneti. Kwa kifupi ukiinama nchale ukilala nchale na ukikimbia nchale.


Namna yavyo safiri, kuna yanayorushwa juu kwenye angle, yanaenda mpka yanamaliza nguvu Kisha yarudi chini Kwa nguvu ya gravity Kuelekea target (mfano wa pembeni tatu), kuna mengine yanasafiri kama ndege hapa unaweza PATA kitu kinaitwa Cruse missile hapa yapo yasiyo na akili sana lenyewe ni mwendo Kuelekea target bila kujari vikwazo hapa ndio Iron dome huwa inajipigia sana na kupata sifa. Ila kuna Yale yameshangamka kwani yanaweza kwenda chinichini yakikwepa milima na vikwazo vingine na huwa ngumu Kwa radar kuyan'gamua mpaka yamefika karibu na lengo. Wahuni pia huweka multiple war heads, yaani likikaribia lengo bomu linazaa vibomu kadhaa, ukizuia hilo, hili lazima likutwange tu.

Mfano. Urukaji
ICBM-vs-Hypersonic-Missile-Trajectory.jpg


Mfano. Multiple warhead
the-mirv-multiple-independently-targetable-re-entry-vehicle-v0-KcNG06rF4yvCKGS3oCBgQkuYuSQj5Z0...jpg
 
Wazee tuelimishane kidogo hivi no tofauti gani kati ya ballistic missile ya kawaida na ballistic ICBM missile.

Maana kuna taarifa nimeiona kwenye chanzo kimoja cha kijeshi kinasema kuwa Iran imefanya majaribio ya kombora lake la kwanza la ICBM.

Mimi ninavyo jua ballistic missile ikisha kuwa na uwezo wa kusafiri zaidi ya km 1500 ina sifa za ICBM na Iran anayo mengi.

View attachment 3148271
Ngoja waje wajuzi
 
Uyo mbona tangu maono yake kuusu vita y russia kule toka apo kajikubali kuwa alikuwa mtoto ajui kitu alivurugwa sasa ndio anajifunza upya aya mambo kwaiyo yupo shule usitegemee kumuona akiweka neno apa😂😂😂
Huu mwandiko sio mchezo. Ngoja tuone.
 
ICBM =inter-continental ballistic missile
BM = ballistic missile

Tofauti ni masafa ya kusafiri. Ukiongeza speed ikavuka mara 25 ya speed ya sauti ndio unapata supersonic , chini ya hapo unapata subsonic.

Mengine wameshasema, huwezi tuma hili kombora bila kuwa na uhakika litapiga shabaha with accuracy of 99.999%. Yani ukiweka passo yako sehemu iwe target hapo kigamboni, Mrusi kutoka Moscow zaidi ya km 10,000 akiizoom awipasue katikati, akikosa sana sana kombola litapiga tairi la kushoto au juu ya boneti. Kwa kifupi ukiinamsula nchale ukilala nchale na ukikimbia nchale.
Tofautisha supersonic na hypersonic..March 25 haiwezi kuwa supersonic nilazima Iwe supersonic iliyoenda shule
 
Wazee tuelimishane kidogo hivi no tofauti gani kati ya ballistic missile ya kawaida na ballistic ICBM missile.

Maana kuna taarifa nimeiona kwenye chanzo kimoja cha kijeshi kinasema kuwa Iran imefanya majaribio ya kombora lake la kwanza la ICBM.

Mimi ninavyo jua ballistic missile ikisha kuwa na uwezo wa kusafiri zaidi ya km 1500 ina sifa za ICBM na Iran anayo mengi.

View attachment 3148271
Kwani utofauti hapo si “Inter continental”?

Hilo linavuka bara moja kwenda jingine. Hayo ni hatari ndo maana Kiduku anajitapa.
 
Iran na kiduku kwenye masuala ya milipuko ni habari nyingine siku wakifaulu vizuri kwenye ndege utakua ni mziki wa Dunia nzima hakuna atakae leta ufala
Ndege ni too risk kwenye dunia ya sasa iliyojaa uchafu wa Ads Israel mwenyewe anashambulia kwa anga kwa vi nchi vilivyo uchi sana. kurusha ndege kwenye anga linalolindwa na kila takataka ni too risk Urusi mpaka leo bado hajatawala ipasavyo anga la Ukraine na huyo ni Ukraine Imagine urushe vindege vyako kwenda China, U.S, Russia,Iran lazima utakuwa umewasainisha hati ya kifo marubani zako ulio wa train kwa ghrama kubwa.

Drones so far ni game changer na Iran wanajiza titi zaidi huko and so far gharama za drones zipo too low ukicompare na ndege kinacho hitajika ni advancement zaidi katika uwanja wa drones ili zileta maafa makubwa zaidi
 
T14 Armata, tia neno hapa Kiongozi.
ICBM ina arc yake ikifyatuliwa haipindipindi angani, inaenda nje ya anga la dunia kisha inaingia anga la dunia (re-entry). Uko nje ya anga la dunia sababu hakuna friction inaenda kwa kasi kubwa na inakuja nayo duniani.

ICBM ni nzito inaweza beba multiple reentry vehicles (MIRVs) vichwa vya warheads kadhaa vikatua sehemu tofauti. Haina shabaha kubwa sababu mlipuko ni mkubwa sanasana inabeba nuclear warhead hata circular error probable (CEP) ikiwa 1km sawa.

ICBM inaweza fyatuliwa ardhini kwenye missile silos kama Minuteman series ya Marekani
NASM-A19761115000-NASM2018-10955.jpg

Kuna za kufyatuliwa kwenye magari makubwa TEL kama RS-28 Sarmat ya Urusi
PC-24_«Ярс»-1024x684.jpg

Kuna ya kufyatuliwa na nuclear submarine ni submarine-launched ballistic missile (SLBM) kama Trident ya Marekani
200212-N-EA818-0055-1024x682.jpg


Cruise missile inaendeshwa na jet engine mara nyingi, jet engine inaweza piga kona. Cruise missile inaendeshwa na inertial guidance ikaongezwa na terrrain following na pia lazima mifumo ya satellite kama GPS, Glonass au BeiDou ihusike.

Cruise missile haitoki nje ya dunia na haina speed kubwa sana ila haitabiriki inakoenda maana inaweza kata kona. Ina accuracy nyingine hadi within 30m CEP nyingine 5m CEP. Anti ship cruise missiles ndio zina CEP ndogo zaidi.

Cruise missiles sio ngumu sana kuunda nchi zikijitutumua zinaunda tu. Cruise zinabebwa hata na ndege.
 
tulimuomba uyo T armata atasmini kati ya nguvu tulizoona IRAN akiipiga Israel na ISRAEL akiipiga Iran nani kaonesha udogo wake na ukubwa wake. Akujibu akadai tusubili siku mbili au 3 tujue !!!!! akurudi tena japo sisi tulioji siku 2 au 3 zanini yule mkenya wa mwandoni akaja na picha tukashtukia ile picha😅😅😅
 
Ndege ni too risk kwenye dunia ya sasa iliyojaa uchafu wa Ads Israel mwenyewe anashambulia kwa anga kwa vi nchi vilivyo uchi sana. kurusha ndege kwenye anga linalolindwa na kila takataka ni too risk Urusi mpaka leo bado hajatawala ipasavyo anga la Ukraine na huyo ni Ukraine Imagine urushe vindege vyako kwenda China, U.S, Russia,Iran lazima utakuwa umewasainisha hati ya kifo marubani zako ulio wa train kwa ghrama kubwa.

Drones so far ni game changer na Iran wanajiza titi zaidi huko and so far gharama za drones zipo too low ukicompare na ndege kinacho hitajika ni advancement zaidi katika uwanja wa drones ili zileta maafa makubwa zaidi
Ok Asante Kwa analysis nilikua nahofu Kama Iran amechelewa Sana kwenye ndege
 
Back
Top Bottom