Nini tofauti kati ya ballistic missile na ICBM?

Nini tofauti kati ya ballistic missile na ICBM?

ndege azina umuimu sana ktk vita mpya yakisasa vita inaenda kuwa watu nikama wanacheza draft lkn ndio unapigwa vibaya sana. Ndege zinamambo mengi mafuta pakupita kuonekana kushushwa rubani mfunzo vile kubwa,,, tofaut na missile vitu vinapenya au itunguliwe lkn akuna madhala makubwa,
 
Ndege ni too risk kwenye dunia ya sasa iliyojaa uchafu wa Ads Israel mwenyewe anashambulia kwa anga kwa vi nchi vilivyo uchi sana. kurusha ndege kwenye anga linalolindwa na kila takataka ni too risk Urusi mpaka leo bado hajatawala ipasavyo anga la Ukraine na huyo ni Ukraine Imagine urushe vindege vyako kwenda China, U.S, Russia,Iran lazima utakuwa umewasainisha hati ya kifo marubani zako ulio wa train kwa ghrama kubwa.

Drones so far ni game changer na Iran wanajiza titi zaidi huko and so far gharama za drones zipo too low ukicompare na ndege kinacho hitajika ni advancement zaidi katika uwanja wa drones ili zileta maafa makubwa zaidi
Mnatuchanganya sana sisi tusio wataalam wa mambo haya
Sasa ndege za Israel ziliwezaje kuingia na kupiga maeneo kadhaa ndani ya Iran ikiwa nchi hii ni miongoni mwa zilizojuu kulinda anga zao kwa ADs?
 
Mnatuchanganya sana sisi tusio wataalam wa mambo haya
Sasa ndege za Israel ziliwezaje kuingia na kupiga maeneo kadhaa ndani ya Iran ikiwa nchi hii ni miongoni mwa zilizojuu kulinda anga zao kwa ADs?
Kuhusu ndege za Israel hazikuingia anga la Iran ziliruka na kupiga kupitia anga la nchi jirani ambayo ni Iraq.
Ni kama Urusi anavorusha makombora kutokea anga lake.
 
Uko Iran anga lao alipigiki adi akuna picha ata moja missile kutoka ktk ndege ilipiga seem zaid ni udaku na ,vile Iran kaaamua aitumie kama sababu ya kulalamika UN na kusema wajeda4 wamekufa kwaiyo anayo aki ya kulipiza. ndio tumesikia promis no 3 lkn akuna kilichopita picha zipo waziwazi kabisa. Anga la Iran ni salama. Watu awana wasiwasi,,,
 
ICBM =inter-continental ballistic missile
BM = ballistic missile

Tofauti ni masafa ya kusafiri. Ukiongeza speed ikavuka mara 25 ya speed ya sauti ndio unapata supersonic , chini ya hapo unapata subsonic.

Mengine wameshasema, huwezi tuma hili kombora bila kuwa na uhakika litapiga shabaha with accuracy of 99.999%. Yani ukiweka passo yako sehemu iwe target hapo kigamboni, Mrusi kutoka Moscow zaidi ya km 10,000 akiizoom awipasue katikati, akikosa sana sana kombola litapiga tairi la kushoto au juu ya boneti. Kwa kifupi ukiinama nchale ukilala nchale na ukikimbia nchale.


Namna yavyo safiri, kuna yanayorushwa juu kwenye angle, yanaenda mpka yanamaliza nguvu Kisha yarudi chini Kwa nguvu ya gravity Kuelekea target (mfano wa pembeni tatu), kuna mengine yanasafiri kama ndege hapa unaweza PATA kitu kinaitwa Cruse missile hapa yapo yasiyo na akili sana lenyewe ni mwendo Kuelekea target bila kujari vikwazo hapa ndio Iron dome huwa inajipigia sana na kupata sifa. Ila kuna Yale yameshangamka kwani yanaweza kwenda chinichini yakikwepa milima na vikwazo vingine na huwa ngumu Kwa radar kuyan'gamua mpaka yamefika karibu na lengo. Wahuni pia huweka multiple war heads, yaani likikaribia lengo bomu linazaa vibomu kadhaa, ukizuia hilo, hili lazima likutwange tu.

Mfano. UrukajiView attachment 3148395

Mfano. Multiple warhead
View attachment 3148398
Umechambua vyema ila hapa kwa iron dome tushushe
 
Mnatuchanganya sana sisi tusio wataalam wa mambo haya
Sasa ndege za Israel ziliwezaje kuingia na kupiga maeneo kadhaa ndani ya Iran ikiwa nchi hii ni miongoni mwa zilizojuu kulinda anga zao kwa ADs?
Ndege za israhell hazikukanyaga anga za Iran
 
ICBM ina arc yake ikifyatuliwa haipindipindi angani, inaenda nje ya anga la dunia kisha inaingia anga la dunia (re-entry). Uko nje ya anga la dunia sababu hakuna friction inaenda kwa kasi kubwa na inakuja nayo duniani.

ICBM ni nzito inaweza beba multiple reentry vehicles (MIRVs) vichwa vya warheads kadhaa vikatua sehemu tofauti. Haina shabaha kubwa sababu mlipuko ni mkubwa sanasana inabeba nuclear warhead hata circular error probable (CEP) ikiwa 1km sawa.

ICBM inaweza fyatuliwa ardhini kwenye missile silos kama Minuteman series ya MarekaniView attachment 3148453
Kuna za kufyatuliwa kwenye magari makubwa TEL kama RS-28 Sarmat ya UrusiView attachment 3148457
Kuna ya kufyatuliwa na nuclear submarine ni submarine-launched ballistic missile (SLBM) kama Trident ya MarekaniView attachment 3148452

Cruise missile inaendeshwa na jet engine mara nyingi, jet engine inaweza piga kona. Cruise missile inaendeshwa na inertial guidance ikaongezwa na terrrain following na pia lazima mifumo ya satellite kama GPS, Glonass au BeiDou ihusike.

Cruise missile haitoki nje ya dunia na haina speed kubwa sana ila haitabiriki inakoenda maana inaweza kata kona. Ina accuracy nyingine hadi within 30m CEP nyingine 5m CEP. Anti ship cruise missiles ndio zina CEP ndogo zaidi.

Cruise missiles sio ngumu sana kuunda nchi zikijitutumua zinaunda tu. Cruise zinabebwa hata na ndege.
Keep it 💯 up
 
Ballistic Missile ni sifa ya makombora yanayorushwa kwa mfumo wa Rocket, ni makombora yanayoweza kwenda umbali mrefu tofauti na makombora yanayorushwa kwa mfumo wa Cruise

Kwahiyo hata ICBM ni Ballistic missile inarushwa kwa mfumo huohuo wa rocket ila kinachoongezeka ni kombora linalosafiri umbali mrefu zaidi linaweza kuvuka hata bara moja kwenda bara lingine na ni kombora linaloweza kufungwa nuclear warhead
 
tanzania tunazo pale ngerengeree, tuko vizurii
 
tanzania tunazo pale ngerengeree, tuko vizurii
Ikiwa kweli zipo apo! ujue ww umetoa code ktk sheria y usalama. Ungeweza tu kusema tunazo lkn kutaja zilipo ujue majanga au mji na kweli zipo mji huo. Kama umedanganya safi upo vizuli.
 
ndege azina umuimu sana ktk vita mpya yakisasa vita inaenda kuwa watu nikama wanacheza draft lkn ndio unapigwa vibaya sana. Ndege zinamambo mengi mafuta pakupita kuonekana kushushwa rubani mfunzo vile kubwa,,, tofaut na missile vitu vinapenya au itunguliwe lkn akuna madhala makubwa,
Hakuna unalo jua mzee
 
Back
Top Bottom