Mwanafalsafa
Platinum Member
- Jun 24, 2007
- 673
- 865
Habari wataalam,
Naomba kufahamishwa tofauti ya hizi taasisi:
1. Societies (vyama/jumuia vinavyosajiliwaga na wizara ya mambo ya ndani)
2. NGOs (taasisi zinazosajiliwaga na wizara ya ustawi wa jamii)
3. Ushirika (huu sijui unasajiliwaga wapi).
Halafu hapo kwenye Ushirika je kuna tofauti gani kati ya vyama kama KNCU na taasisi kama VICOBA na SACCOS? Je vyote hivi vinasimamiwa na sheria gani?
Naomba kufahamishwa tofauti ya hizi taasisi:
1. Societies (vyama/jumuia vinavyosajiliwaga na wizara ya mambo ya ndani)
2. NGOs (taasisi zinazosajiliwaga na wizara ya ustawi wa jamii)
3. Ushirika (huu sijui unasajiliwaga wapi).
Halafu hapo kwenye Ushirika je kuna tofauti gani kati ya vyama kama KNCU na taasisi kama VICOBA na SACCOS? Je vyote hivi vinasimamiwa na sheria gani?