Black Opal
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 233
- 298
Supu inachemshwa tu na maji, wakati mchemsho unaweza viungo nyanys, kitunguu, karoti hoho, viazi au ndiziWakuu,
Hiki kitu kinanichanganya kwakweli na sijawahi kuelewa tofauti zake, maana nikiaambiwa kupika supu ama mchesho upishi wangi ni mmoja, lakini kuna sehemu supu na mchemsho ni vitu viwili tofauti!
Hizi picha nimetoa mtandaoni, moja ni supu nyingine ni mchemsho, lakini mimi sioni tofauti yoyote!
Sasa nataka nifahamu, kile ninachopika huwa ni supu ama mchemsho? Wajuvi karibuni.
Asante sana Mkuu... sasa ntaweka maujanja yangu ya kupika supu matataSupu inachemshwa tu na maji, wakati mchemsho unaweza viungo nyanys, kitunguu, karoti hoho, viazi au ndizi
Asante sana MkuuMi najua supu haina viungo zaidi ya maji chumvi, ila mchemsho unawekwa viungo mixer viazi or ndizi