Nini tofauti ya kesi ya jinai na kesi zingine?

Nini tofauti ya kesi ya jinai na kesi zingine?

Kesi za jinai zinahuisha mashtaka ya makosa yenye adhabu ya kifungo jela, fine au vyote kwa pamoja.

Kwa Tanzania, makosa ya jinai ni matendo maovu yaliyotendwa dhidi ya binadamu, mali, na serikali.

Kila nchi ina mfumo wake wa makosa ya jinai. Jinai hutofautiana kati ya nchi na nchi.

Mfano, biashara ya mirungi ni jinai Tanzania ila ni halali Kenya.

Facebook ni jinai China ila ni halali Tanzania.

England mtu anaruhusiwa kisheria kujiua iwapo anajihisi kuteseka na ugonjwa ila Tanzania ni jinai.

Kumiliki mali binafsi ni jinai katika nchi za kijamaa ila ni halali katika nchi za kibepari.
 
Kesi za jinai zinahuisha mashtaka ya makosa yenye adhabu ya kifungo jela, fine au vyote kwa pamoja.

Kwa Tanzania, makosa ya jinai ni matendo maovu yaliyotendwa dhidi ya binadamu, mali, na serikali.

Kila nchi ina mfumo wake wa makosa ya jinai. Jinai hutofautiana kati ya nchi na nchi.

Mfano, biashara ya mirungi ni jinai Tanzania ila ni halali Kenya.

Facebook ni jinai China ila ni halali Tanzania.

England mtu anaruhusiwa kisheria kujiua iwapo anajihisi kuteseka na ugonjwa ila Tanzania ni jinai.

Kumiliki mali binafsi ni jinai katika nchi za kijamaa ila ni halali katika nchi za kibepari.
Umemaliza Kila kitu Mkuu. Watu wengi hudhani mauaji ndo Jinai pekee kumbe hata kutukana ni jinai.
 
Ila pia kuna baadhi ya makosa yanakuwa na jinai na madai kwa pamoja. Mfano, kutukana: Jamhuri inaweza kukushitaki na pia hapo hapo aliyetukanwa anaweza kufungua madai ya fidia kwa udhalilishaji. Japo hili hupendeza sana mtu akasubiri kesi ya jinai iishe kwanza.
 
Hazihusiani na kesi za mauaji /murder case
Mkuu hapa umechanganya kidogo
1.public law hizi ni sheria zinazo kuwa regulated na serikali hivyo jinai zote ikiwepo murder case ni jinai so state ndio analalamika

2.private law hizi ni sheria zinazo simamia mambo binafsi baina ya mtu na mtu ie mwenyewe nyumba na mpangaji,etal
So hapa hata kushitakiana ni baina ya nyie wenyewe ila shauri lazima liende competent authority ie abitral board au mahakama

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hapa umechanganya kidogo
1.public law hizi ni sheria zinazo kuwa regulated na serikali hivyo jinai zote ikiwepo murder case ni jinai so state ndio analalamika

2.private law hizi ni sheria zinazo simamia mambo binafsi baina ya mtu na mtu ie mwenyewe nyumba na mpangaji,etal
So hapa hata kushitakiana ni baina ya nyie wenyewe ila shauri lazima liende competent authority ie abitral board au mahakama

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Asante sana kwa ufafanuzi mkuu[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Nimekuwa nikisikia kuhusu kesi za jinai, namba mnieleze jinai ni nini? Nini tofauti ya kesi ya jinai na kesi zinezo.
Case ya jinai (criminal case (offense)....dhidi ya case ya madai (Kuna civil case,tort related case ambapo nazo huwa sehemu ya Civili(madai) case.....
 
Nimekuwa nikisikia kuhusu kesi za jinai, namba mnieleze jinai ni nini? Nini tofauti ya kesi ya jinai na kesi zinezo.

Makosa ya jinai huainishwa kwenye Sheria za nchi husika (mfano Penal Code) jambo likitamkwa katika Sheria husika kwamba ni jinai basi linakuwa jinai maana yake ukitenda unaadhibiwa kwa kwenda jela, kulipa faini n.k

Kila nchi ina jinai zake hatufanani ila lazima Sheria itamke kwamba kufanya jambo flani ni jinai au kutofanya jambo flani ni jinai.


Kama hakuna Sheria ina maana hilo sio kosa kisheria ila linaweza kuwekwa kwenye kundi la makosa yaliyo kinyume na utamaduni wa jamii husika (Moral standard) na adhabu zake zinatokana na jamii husika


Kwa ufupi najua ivo tu. Wanasheria watajazia nyama
 
Back
Top Bottom