Asante, kwanini sasa waweke hio lead wakati wanajua ina madhara kwa mazingira?Leaded petrol means petrol containing lead, which should be avoided as they get emitted in to the air and causes harmful effects on plants, humans n animals too. While unleaded petrol means petrol without lead, which is used now-a-days
Asante,Hio leaded ilitengenezwa kwa sababu zipi hasa, kulikuwa na ulazima gani?Unleaded ndio best, the. Super, hayo leaded sio mazuri na bei ndogo. Mara nyingi utaona wanaandika Petrol tu.
Baadhi ya magari yapo sensitive kiasi kwamba yanataka unleaded tu.
Hapo kuna mambo mengi mbali na uwepi wa lead (pb) kuna mambo ya namba za octane etc.
Asante, Hio leaded ilitengenezwa kwa sababu zipi hasa,kulikuwa na ulazima gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko wanauza aina ipi kwani?Zile wanazotuuzia Total na Puma sijui ndio zenyewe..
Huku ndio wanauza unleaded.
Jose is back [emoji122][emoji122][emoji122]Leaded petrol means petrol containing lead, which should be avoided as they get emitted in to the air and causes harmful effects on plants, humans n animals too. While unleaded petrol means petrol without lead, which is used now-a-days
Zile wanazotuuzia Total na Puma sijui ndio zenyewe..
Lead iliwekwa ili kuongeza ufanisi kwenye engine za petrol kwa kuongeza octane number , na kuongeza ufanisi kwenye engine, na quiet operation za engine kwa kuwa pia ilikuwa inapunguza knocking effect.Asante,Hio leaded ilitengenezwa kwa sababu zipi hasa,kulikuwa na ulazima gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na 91 95 98 ?Lead iliwekwa ili kuongeza ufanisi kwenye engine za petrol kwa kuongeza octane number , na kuongeza ufanisi kwenye engine, na quiet operation za engine kwa kuwa pia ilikuwa inapunguza knocking effect,
Kwa magari ya kisasa combustion process imeboreshwa sana ,ndi maana hata unleaded fuel Ina perform vizuri, tu Ila Yale ya zamani vavle mbili carburetor na point distributor , unleaded fuel ilikuwa ni mateso
Sent
Sina uhakika sana Ila nadhani ni octane number , lakini pia miaka ya karibuni kumekuwa na additives zingine kwenye petrol ambazo inadaiwa ni salama kwa mazingira,Na 91 95 98 ?
Naona za hiyo station zinasoma 80s
Mkuu hizo namba ni za nini?Na 91 95 98 ?
Naona za hiyo station zinasoma 80s
Asante kwa hio kwa wenye magari ya kisasa una uamuzi wa kuweka yoyote tu kati ya leaded na unleaded sio?Lead iliwekwa ili kuongeza ufanisi kwenye engine za petrol kwa kuongeza octane number , na kuongeza ufanisi kwenye engine, na quiet operation za engine kwa kuwa pia ilikuwa inapunguza knocking effect,
Kwa magari ya kisasa combustion process imeboreshwa sana ,ndi maana hata unleaded fuel Ina perform vizuri, tu Ila Yale ya zamani vavle mbili carburetor na point distributor , unleaded fuel ilikuwa ni mateso
Sent
Asante,kwanini sasa waweke hio lead wakati wanajua ina madhara kwa mazingira?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni namba za octane ila kwa undani sijui ndiyo maana nikauliza.... filling yoyote utaziona...hata hapo kwa picha ya mtoa uzi si unaona super 93?Mkuu hizo namba ni za nini?