Unaweza kunipa mfano hai wa mtume na nabii kwa majina
Mitume wakubwa wa Qurani ambao walipewa mitihani mingi wakawa na subira kustahimili matatizo ya umma zao. Hawa ni:
1. Nuhu
2. Ibrahimu
3. Musa
4. Isa
5. Muhammad.
Baadhi ya majina ya manabii waliotajwa katika Qurani ni pamoja na:
1. Adam ( Adamu ) ( ﺁﺩﻡ )
2. Idris au Idrisa ( Henoko ) (ﺇﺩﺭﻳﺲ )
3. Nuh ( Nuhu ) ( ﻧﻮﺡ)
4. Hud ( ﻫﻮﺩ)
5. Saleh au Salih (ﺻﺎﻟﺢ )
6. Ibrahim au Ibrahimu (Abrahamu ) (ﺇﺑﺮﺍﻫﻴﻢ )
7. Luut (Lut ) ( ﻟﻮﻁ)
8. Ismail au Ismaili (Ishmaeli ) (ﺇﺳﻤﺎﻋﻴﻞ )
9. Ishaq au Isihaka ( Isaka ) (ﺇﺳﺤﺎﻕ )
10. Ya'qub au Yakubu ( Yakobo Israeli ) (ﻳﻌﻘﻮﺏ )
Baadhi ya majina ya manabii waliotajwa katika Biblia ni:
1. Nabii –Ibrahimu (Mwa 20:7).
2. Nabii –Haruni (Aroni) (Kut 7:1).
3. Nabii –Musa (Kumb 18:15; 34:10).
4. Nabii –Samweli (1Sam 3:20).
5. Nabii –Gadi (1Sam 22:5).
6. Nabii –Nathani (2Sam 7:2).
7. Nabii –Ahiya (1Fal 11:29).
8. Nabii –Yehu (1Fal 16:7).
9. Nabii –Eliya (1Fal 18:22). Nabii si mwandishi.
10. Nabii –Elisha (1Fal 19:16; 2Fal 5:8; 2Fal 6:12).
Haya ni majina ya mitume waliotajwa kwenye Biblia ni:
1. Simoni Petro
2. Andrea
3. Yakobo Mkubwa
4. Yohane
5. Filipo
6. Bartholomayo
7. Tomaso
8. Mathayo
9. Yakobo Mdogo
10. Simoni Mkananayo
11. Yuda Tadei
12. Yuda Iskarioti. Baada ya kifo chake, nafasi yake ilishikwa na Mathiya