Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
UDSM bora?nani kasema.....DIT is the beest!
Sua is the best
mtoa mada haulizi abt Institute anauliza abt UNIVERSITY,KAMA UNATAKA KUKOMPEA DIT,
DIT HUWEZ KUIFANANISHA HATA NA IDS(INSTITUTE OF DEV STUDIES)
Lack of information bado ni tatizo kwa sisi wa tz. Kwan nani kakuambia institute can not compete with university?
Hivi unajua kuwa Massachusetts Institute of technology ni chuo ambacho kipo kwenye tatu bora duniani? Ni wala sio university.
Haya D I T is the best institute in posta.
Embu pima pima crem zilizoenda sekondari za mzumbe, kifungilo,kilakala,elboru,na creme zilizoenda seminaries eg st Francis. Ukija kuangalia matokeo ya form four kwenye top ten utakuta nyingi ni seminary na ya kwanza ikiwa ni seminary.
Sasa jiulize why hawa seminary wamefanya vizur zaid kuliko hata hizi shule nzur za sekondari ambazo kimsingi upokea creme?
Pia jiulize kwann wazaz wengi wanapenda kuwapeleka watoto wao kwenye shule hizi za siminary? Bila shaka ni kwa sababu ya ubora wake. Sasa km wanaoendesha vyuo km saut ndio walewale wanaoziendesha hizi seminary then why mtu anadharau elimu ya saut?
Khs kufundishwa chuo nadhan ndugu umekosa exposure tu. Mm nimefanya masters yangu uk at the leading public university in uk. Bt they teach each and every thing. Wanampa mwanafunzi kila kitu. Wanapotaka mwanafunz ajitafutie mwenyewe ni kwenye assignments na research papers, hapo ndio huwa watu wanaandika assignments na research za maana sana coz wapo sensitive sana kwenye plagiarism. Bt huko kwetu unakuta mwanafunzi hafundishwi eti ndio kuwa chuo kikuu. Shida sana.
Visit Harvard University, Yale University, Massachusetts Institute, coventry university, Stan Ford uone km hawafundishi km hapo chuoni kwako.
ndugu tafadhari tuongee tuliyokuwa tunaongea, hujui nimezaliwa wapi,ninaelimu gani na nimesoma wapi. exposure ni zaidi kufika mahali. kujishaua sio vizuri, ongea vitu katika uhalisia. a.w hongera kwa kusoma huko.
Udsm kitabaki Kuwa chuo wengineo sekondari za Kara tu
Lack of information bado ni tatizo kwa sisi wa tz. Kwan nani kakuambia institute can not compete with university?
Hivi unajua kuwa Massachusetts Institute of technology ni chuo ambacho kipo kwenye tatu bora duniani? Ni wala sio university.
economista ukizungumzia institute kama hiyo kwa huko ulaya mbona utakuta hata unv of pretoria haiingii,
me nazungumzia kwa muktadha wa hapahapa home,,,wewe unakuja na mifano ya dunia ya kwanza hatuwez kuelewana,,,,
Got you
Guys! Hizi mada za kutambiana vyuo we are getting sick of them! Mnakumbuka kina#mpigamsuli na wengineo walitusumbua sana humu jukwaani....however mleta mada anaweza akawa ana nia njema ya kutaka kujua quality ya ubora ya udsm lakini wachangiaji tukaifanya hii mada kuwa malumbano ya vyuo(tukaiharibu).kwa kuwa ametaka maelezo ya udsm basi tujikite kwa udsm kwa wale tu wanaoifaham udsm.kama huijui nyamaza na jifunze,kesho njoo na thread yako ya chuo unachoona kina sifa na utueleze ili na sisi tujuwe yanayojiri humo ili tujifunze kiustaarab kama ambavyo na wewe umejifunza leo.
Back to topic:mimi ntaeleza kigezo kimoja ambacho chuo chochote duniani hupimwa ubora wake kutokana na kigezo hicho ambacho ni IDADI YA PUBLICATIONS NA CONFERENCES. Hapa nazungumzia academic publications kwenye international journals mbalimbali duniani. Publications hizi hufanywa na wanafunzi na/walimu zikiwa ni research papers au theoretical papers.pia idadi ya academic conferences ambazo chuo kinaandaa au walim na/wannafunzi wake hushiriki. Kwa mazingira ya kitanzania Udsm ndio chuo kinachoongoza katika kategoria hii ukilinganisha na vyuo vinginevyo.
Kwa wanaoelewa thamani ya academic publications na conference katika academic arena nadhani wamenielewa,ama kwa wale wanaoamua kuishi kiushabiki tu basi niseme poleni!