Morgan Freeman
Member
- Mar 14, 2015
- 85
- 105
kama una uzoefu na hili jambo hebu toeni msaada though walimu wengi walioondoa supp last year majina hayapo na wengine baadhi ya vyuo hawapo nini kifanyike?
je ni kwenda vyuoni su Tamisemi?
je ni kwenda vyuoni su Tamisemi?