kama una uzoefu na hili jambo hebu toeni msaada though walimu wengi walioondoa supp last year majina hayapo na wengine baadhi ya vyuo hawapo nini kifanyike?
kama una uzoefu na hili jambo hebu toeni msaada though walimu wengi walioondoa supp last year majina hayapo na wengine baadhi ya vyuo hawapo nini kifanyike?
kwa experince yangu walimu wengi wanaosapua especially diploma wachache sana huajiriwa na wale fresh yaan first intake bt weng wao huajiriwa awamu ya pili ya ajira so naamin mtaajiriwa msiwe na presha#God is good all the time100%#