dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,423
- 1,987
Habari wadau,
Ni utafiti usio rasmi na pengine usiokuwa wa kisayansi nilioufanya binafsi,
Ni hivi, Asilimia kubwa ya Wanaume ambao ni Walevi kupindukia, Si wote.
Wanazaa zaidi watoto wenye jinsia ya Kike.
Hii inasababishwa na nini?
Naomba ufafaiuzi kwa yeyote anaefahamu.
Ni utafiti usio rasmi na pengine usiokuwa wa kisayansi nilioufanya binafsi,
Ni hivi, Asilimia kubwa ya Wanaume ambao ni Walevi kupindukia, Si wote.
Wanazaa zaidi watoto wenye jinsia ya Kike.
Hii inasababishwa na nini?
Naomba ufafaiuzi kwa yeyote anaefahamu.