Nini Uhusiano wa Ulevi na kuzaa watoto wa Kike kwa wanaume?

dah hivi ww Excel ulipataga biology ngapiiii? kwenye mtihani wako wa fom four!! ungekua unasoma miaka hii division 5 ingekuhusu aiseee!!
 
kaka yangu na mkewe hawanywi toka wazaliwe lakini mpaka leo wana watoto watatu. Wote wa kike!
 
Sio kweli hali ya kukosa mtoto wa kiume haisababishwi na pombe tatizo laweza kuwa la kurithi katika familia kwamba ukooo wenu unazaaa sana watoto wa kike na kijana nae anapooa anaweza kukumbwa na haka katatizo
Mbegu kama ni dhaifu zitakuwa dhaifu hata kama hunywi pombe
 
Very minor lkn kunasbbu nyng kama mattzo ya kbailojia na cku wanazokutana baada ya bleeding ndo kubwa.
 
Duu! Ya kweli hayo??
ahsante kwa kuona hilo!

mwanaume aliyepatikana wakati baba akiwa amelewa, kawaida anakuwa na afya majanga majanga kila wakati!

mtoto wa miaka 4 anaonekana kama 10 hivi!
 
Naona kama hii koment yako ipo sayantifiki.
 

Mjomba tunajaribu kuwa wadadisi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…