Nini ukweli juu ya kuenea kwa Ukimwi?

Mleta pekua humu jukwaani utakuta nyuzi nyingi zimezungumzia HIV na AIDS(VVU na UKIMWI).
Usisahau na link mbali mbali ulizopewa kuzipitia kwa ufasaha.
 
Wapo watu wachache sana ambao wanaishi/ wamesha kutana kimwili na watu wenye maambukizi lkn hawakupata. Hy hata wanasayansi hawana majibu ila kumbuka mazingira yakisha kuchagua upate basi hata ukivaa condom basi utaupata hata ufany nini ila ni vzr na ni njm kuvaa kinga kuchukua tahadhari
 
Umejitahidi kuwafafanulia kwa kweli ila mi ni kiboko ya matatizo
 
yanavyo kwa mjibu wa wataalamu
Sio majimaji yaliyopo ukeni ambayo huneba virus, ila ni majimaji yatokanayo na misuguano na kusababisha michubuko na majimaji ya ndani ya mwli ku contact na michubuko ya asiye na virus, na laiti ingekua ni majimaji yyt basi hata mate yangeambukiza
 
WATAALAMU WANASEMA KUNAWA KWA SABUNI YA UNGA QUICK AFTER MTANANGE AU MGEGEDO KUNAPUNGUZA CHANCE YA VIRUSI KUINGIA MWILINI...CHUKUA HYO NA UIFANYIE KAZI
 
Hakuna daktari aliyewahi kuthibitisha kumuona HIV ..

Ila ukimwi au upungufu wa kinga mwilini

Upo na unapona
 
Ni vizuri kujifariji kwa maneno kama hayo...
Mkuu kwann usitoe ushahidi nami nitoe ?? Maana hata mgunduzi wa kile kipimo chenu cha HIV amekiri kwa mdomo wakke hajawahi kumuona HIV ktk damu ya mtu...

Na hakuna daktari duniani aliyewahi kukiona kirusi cha HIV kwa njia yoyote ile.

Uliza ,tafiti ...
 
Ni kweli kirusi cha Hiv hakijawahi kuonekana, madaktari wanaona tu reaction zinazowafanya waamini kwamba una Hiv ndio maana majibu huwa ni Reactive +ve na Non Reactive - ve. Ni kama vile ukiona moshi basi unasema hapo pana moto. Lakini swala la kuwepo ukimwi hiyo wote wanakubali. Hivyo challenge ambayo hata mimi naendelea kupekua nipate jibu ni hicho chanzo sasa cha ukimwi (kupungua kwa kinga mwilini)
 
Chanzo ni magonjwa halis kutokana na

Madawa ya kulevya

Lishe duni

Magonjwa ya zinaa

N.k
 
Hujawahi sikia wanasema kirusi kinabadilika maumbile..sasa unawezaje kusema kirusi kinabadilika maumbile bila kukiona?
 
Hujawahi sikia wanasema kirusi kinabadilika maumbile..sasa unawezaje kusema kirusi kinabadilika maumbile bila kukiona?
Ulisikia wapi ? Au ndio mambo ya vijiweni? Acha mambo ya kusikia leta ushahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…