Nini unachokikumbuka kwa mtu ambaye hayupo leo duniani

Mafanikio yana gharama zake. Sio hadithi kma wanavyosimilia kirahisi
 
Josephine we're still r-membering
 
Namkumbuka mke wa boss wangu alikuwa poa Sana, nakumbuka last moment na ww nikikwambia lete nikakusagie hiyo lishe ukakubali nambia kesho nachinja nguruwe una nyama yako yakutosha kumbe was the last moment btn me and you.. sijawah kukusahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namkumbuka saana rafiki yangu eliakim benson malisa.

Ulinipokea high school tulikuwa tunasaidiana saana. Kuamshana usiku kwenda prepo.

Tulipanga mipango mingi saana wakati huo our dream was to kusoma chuo kimoja na course moja.

Tcu wakatutenganisha. The day ulinipigia simu kunitaarifu juu ya hilo usiku wake ukapata ajali ya gari ukafa hapo hapo.

Pumzika kwa amani brother. Nakukumbuka saana eliyakim.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka mke wanmdogo wangu,(Wifi yangu), sh was my best friend,my sister and a family member we never had before

Mara baada ya kujifungua watoto mapacha wa kiume alipata complications za BP n moyo, nakumbuka siku yake ya mwisho alinitumia text mida ya saa tano nikiwa ofisini, ilikua jumatatu February 10, 2020 akaniambia "wifi naomba uj hospitali nahitaji Sana kukuona, acha kila unachofanya chukua pikipiki uje"

Nilifunga laptop niakondoka huku moyo wangu una hofu Sana, nikiwa njiani kwenye pikipiki akanipigia akaniambia wifi ninunulie maji ya baridi Sana, nami nikafanya Kama alivoagiza

Nilipofika hospitali ya Lugalo nikamkuta amekaa kitandani na mapigo yake yanaenda mbio Sana, aliponiona akatabasamu Ila miminikaanza Julia maana sikuwahi kumwona akiw akatika Hali ya kuhem akwa tabu namna Ile

Akaniambia "wifinimefurahi Sana kukuona, wewe ni mtu pekee nakuamini kuliko hata mama yangu mzazi, nimechoka kuumwa nahitaji kufa, kinachonipa furaha ni kwamba hata nikifa muda huu najua utawalea wangu vizuri, usimruhusu mama yangu aondoke na wangu naomba uwalee katik amikono yako, Mungu akutie nguvu na akuzidishie kila ulipogoa kwa ajili yangu na wangu"

Alipomaliza kusema hayo maneno akaubusu mkono wangu halafu akakataa roho right infornt of me

Ni miezi miwili Sasa imepita, ninebaki na watoto mapacha nawalea Kam alivoagiza, I really miss her, I wish she could be here aone watoto walivyokua wakubwa na afya njema tena handsome boys

Honestly siwezi kusahau,Kila nikilala namwona wifi mbele yangu anatabasamu, sijui Kama ni Jambo jepesi kwangu kusahau

Nashukuru Mungu kwa kuwa watoto wanaendelea na afaya nzuri, na tar 21 mwezi huu wanatimiza miezi mitatu kamili

May her soul rest in Eternal peace, Amen
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtende!
Binafsi nimeguswa sana. More pain.
Mungu akutie nguvu na uzma watoto wakulie chini ya kimvuli cha shangazi yao! Long live
!
 
Naishia kuwapa pole wote kwa ujumla
Wengi wapendwa wetu wametutangulia mbele ya haki na sisi tutafuata
Tuombeane kila la kheri
Nimehuzunika sana kwa maombi yenu na kumbukumbu kwa wapendwa
Stay safe Guys


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Pole na hongera, jitahidi kupambana nao ikitokea ukishindwa uwezo kabisa usisite kuomba support kwetu wana jf.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

SAuti ya Kepten Komba na LULU MICHAEL akimtoa jasho mzee wa watu
 
kwanini wazazi wako walikuwa hawakusomeshi?

Hittin Blunts and Bustin Nuts
 
Wazazi wangu.. kuna mambo ambayo uwepo wao ungenisalimisha!
Mlezi wangu aliyejitahidi kunilea kwa kuficha kama yeye si mzazi wangu halisi.na alifanikiwa mno.... ingawa gharama zake nalipia mpaka leo hii japo wote...wapo kaburini...nawapenda mno!

Soulmate....

Amefariki tar 01.04.2020 ...
Ni rafiki wa toka utotoni..tumefanya mengi...
Umenitonyesha...kile ambacho ulipigania sana..kipone!

RIP ....







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…