Nini unaweza fanya na pesa zilizotumika nunulia mtandao wa Twita takriban Trilioni 102 Tsh?

Nini unaweza fanya na pesa zilizotumika nunulia mtandao wa Twita takriban Trilioni 102 Tsh?

Agera 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
4,088
Reaction score
4,226
Siku chache baada ya tajiri mkubwa duniani kukamilisha ndoto yake ya kumiliki mtandao wa twita wengi wetu ambao hizo namba tunaona ni pesa za kawaida ila sio hivyo kwani tukija mezani unagundua hiyo pesa ya twita tu mwamba Elon musk akiamua tumia bilioni kila siku kwenye matumizi yake, kula kuvaa kuhonga, new ride kila siku wazee wa land cruiser Sasa hapo mchizi anaweza nunua lc 300 kila siku.

Yaani kifupi budget ya 1 bilion per day for the next 274yrs yes Ni miaka 274 ndo pesa hio itaisha kwa budget ya 1 bilion per day dah!

Hio budget wazee wa mbususu Sasa hio hela inatosha nunua mbususu zote za Dar, yes namaanisha mbususu zote za Dar unaweza nunua kwa miaka 274 ijayo.

Mimi Nina 5m bank na nimelala leo nimeridhika kabisa na haya maisha.
 
Siku chache baada ya tajiri mkubwa duniani kukamilisha ndoto yake ya kumiliki mtandao wa twita wengi wetu ambao hizo namba tunaona Ni pesa za kawaida ila sio hivo kwani tukija mezani unagundua hio pesa ya twita tu mwamba Elon musk akiamua tumia bilioni kila siku kwenye matumizi yake, kula kuvaa kuhonga , new ride kila siku wazee wa land cruiser Sasa hapo mchizi anaweza nunua lc 300 kila siku.

Yaani kifupi budget ya 1bilion per day for the next 274yrs yes Ni miaka 274 ndo pesa hio itaisha kwa budget ya 1bilion per day dah!

Hio budget wazee wa mbususu Sasa hio hela inatosha nunua mbususu zote za dar yes namaanisha mbususu zote za dar unaeza nunua kwa miaka 274 ijayo.

Mimi Nina 5m bank na nimelala leo nimeridhika kabisa na haya maisha.
Akili ya mwafrika inawaza ngono tu.

Eti mbususu.
 
Kama mkuu wa nchi.
1. Ningejenga reli ya kisasa kuunganisha bandari ya Mtwara na ya Mbamba bay

2. Serikari yangu ingeanzisha mradi mkubwa wa kutandaza mabomba ya maji kutoka ziwa victory kuja kanda ya kati ilikubadilisha eneo kubwa lenye ukame kuwa eneo la kilimo

3. Mradi wa pili ungeanza kutoa maji kutoka ziwa Tanganyika kwenda mikoa ya mashariki

4. Bwawa la Nyerere lingeisha bila shaka na STGR ningeiongezea kutoka Mwanza mpaka Mutukula kupiitia Bukoba

5. Serikali ingeanzi taasisi tatu:
(a) Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu na Tiba
(b) Taasisi ya utafiti wa magonjwa mifugo, mimea na tiba
6. Ningejenga viwanda vikubwa vya madawa ya binadamu na mimea mkoani Pwani.

7. Ningeanzisha Taasisi ya utafiti wa mambo ya anga
8. Ningejenga kiwanda cha mbolea mkoani mbeya na chuo cha utafiti wa mbegu na ardhi mkoani katavi
 
Kama mkuu wa nchi.
1. Ningejenga reli ya kisasa kuunganisha bandari ya Mtwara na ya Mbamba bay

2. Serikari yangu ingeanzisha mradi mkubwa wa kutandaza mabomba ya maji kutoka ziwa victory kuja kanda ya kati ilikubadilisha eneo kubwa lenye ukame kuwa eneo la kilimo

3. Mradi wa pili ungeanza kutoa maji kutoka ziwa Tanganyika kwenda mikoa ya mashariki

4. Bwawa la Nyerere lingeisha bila shaka na STGR ningeiongezea kutoka Mwanza mpaka Mutukula kupiitia Bukoba

5. Serikali ingeanzi taasisi tatu:
(a) Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu na Tiba
(b) Taasisi ya utafiti wa magonjwa mifugo, mimea na tiba
6. Ningejenga viwanda vikubwa vya madawa ya binadamu na mimea mkoani Pwani.

7. Ningeanzisha Taasisi ya utafiti wa mambo ya anga
8. Ningejenga kiwanda cha mbolea mkoani mbeya na chuo cha utafiti wa mbegu na ardhi mkoani katavi
Hapo bado hamjanunua wapinzani
 
Siku chache baada ya tajiri mkubwa duniani kukamilisha ndoto yake ya kumiliki mtandao wa twita wengi wetu ambao hizo namba tunaona Ni pesa za kawaida ila sio hivo kwani tukija mezani unagundua hio pesa ya twita tu mwamba Elon musk akiamua tumia bilioni kila siku kwenye matumizi yake, kula kuvaa kuhonga , new ride kila siku wazee wa land cruiser Sasa hapo mchizi anaweza nunua lc 300 kila siku.

Yaani kifupi budget ya 1bilion per day for the next 274yrs yes Ni miaka 274 ndo pesa hio itaisha kwa budget ya 1bilion per day dah!

Hio budget wazee wa mbususu Sasa hio hela inatosha nunua mbususu zote za dar yes namaanisha mbususu zote za dar unaeza nunua kwa miaka 274 ijayo.

Mimi Nina 5m bank na nimelala leo nimeridhika kabisa na haya maisha.
Kutandaza miti tu kwani nini kingine mwanaume ukipata hela?
 
ukitaka kuamini tunapuyanga africa au tanzania,twitter ineuzwa 102 trillion bajeti yetu kwa mwala haivuki 40trillion[emoji2956][emoji2956]

kwamba baharia ana uwezo wa kuja kutununua mwaka mzima na akaturuhusu tulale tu bila kutoka ndani.

yaan huwa nawaza sijui akiwa anatuangalia anatuonaje hivi eti[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kama mkuu wa nchi.
1. Ningejenga reli ya kisasa kuunganisha bandari ya Mtwara na ya Mbamba bay

2. Serikari yangu ingeanzisha mradi mkubwa wa kutandaza mabomba ya maji kutoka ziwa victory kuja kanda ya kati ilikubadilisha eneo kubwa lenye ukame kuwa eneo la kilimo

3. Mradi wa pili ungeanza kutoa maji kutoka ziwa Tanganyika kwenda mikoa ya mashariki

4. Bwawa la Nyerere lingeisha bila shaka na STGR ningeiongezea kutoka Mwanza mpaka Mutukula kupiitia Bukoba

5. Serikali ingeanzi taasisi tatu:
(a) Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu na Tiba
(b) Taasisi ya utafiti wa magonjwa mifugo, mimea na tiba
6. Ningejenga viwanda vikubwa vya madawa ya binadamu na mimea mkoani Pwani.

7. Ningeanzisha Taasisi ya utafiti wa mambo ya anga
8. Ningejenga kiwanda cha mbolea mkoani mbeya na chuo cha utafiti wa mbegu na ardhi mkoani katavi
Una akili timamu!! Angalia sasa mleta mada alivyokuwa mpumbavu kataja ngono tu mwisho apate ngoma afe mapema.
 
Watu Wana mkwanja dakika sijui akili yetu inawaza nn
Muhuni anamwaga mchuzi wote huo
Fikiria mtandao wa kijamii mchuzi wote huo
 
Siku chache baada ya tajiri mkubwa duniani kukamilisha ndoto yake ya kumiliki mtandao wa twita wengi wetu ambao hizo namba tunaona ni pesa za kawaida ila sio hivyo kwani tukija mezani unagundua hiyo pesa ya twita tu mwamba Elon musk akiamua tumia bilioni kila siku kwenye matumizi yake, kula kuvaa kuhonga, new ride kila siku wazee wa land cruiser Sasa hapo mchizi anaweza nunua lc 300 kila siku.

Yaani kifupi budget ya 1 bilion per day for the next 274yrs yes Ni miaka 274 ndo pesa hio itaisha kwa budget ya 1 bilion per day dah!

Hio budget wazee wa mbususu Sasa hio hela inatosha nunua mbususu zote za Dar, yes namaanisha mbususu zote za Dar unaweza nunua kwa miaka 274 ijayo.

Mimi Nina 5m bank na nimelala leo nimeridhika kabisa na haya maisha.
Mimi ningeliwekeza katika mkakati wa kuwa raisi wa nchi nikakifutilie mbali Chama Cha Mafisi (CCM).
 
Hiv hatuwezi mkaribisha 2025 awe Rais wa Tanzania? Then awekeze hiyo hela yake hapa hapa hata robo yake tu Tanzania ingebadilika sana
 
Back
Top Bottom