Hili Amoured, unaweza piga bomu likadunda πππMkuu umeanza uongo mbona hiyo ya kwanza haifanani kabisa na cruiser za jiwe ila hii hapa chini ndio inafanana nazo.Ukibisha nitamuita jiwe mwenyewe atusaidie ni aina ipi anatembeleaga
View attachment 1643960
Aha hapo nimekuelewa.Sasa hii modification anaspecify customer au inakuwaje.Hiyo ya kwanza ni toleo jipya LC300 haijawa modified kama ya Jiwe, kuingia sokoni ni 2021/ 2022. Hiyo ya jiwe ni LC200 ipo modified kwa 50 cm na mafundi ni hawa https://caratduchatelet.com/en/port...er-200-vx-extended-by-50-cm-with-parade-roof/ huo ndio utofauti boss.
Hili Amoured, unaweza piga bomu likadunda πππ
NaamAha hapo nimekuelewa.Sasa hii modification anaspecify customer au inakuwaje.
Hii ndio anayotembelea kitambo tuLC 300 Tetesi inaweza ingia sokoni 2020 mwishoni au 2021mwanzoni . Mzigo ukitoka tutaanza kuuona kwenye convoy za JPM
View attachment 1631645
Tuwekee picha zao tutofautishe.Kama kichwa cha thread kinavyojieleza swali langu ni hasa ni nini tofauti ya Landcruiser vx na Landcruiser GX magari haya hujulikana kwa jina la shangingi.
Na je, huwa yana utofauti wowote wa kiumbo unaoweza kutofautisha hili ni VX na lile ni GX?
Pia inaonekana kama VX linatamba zaidi ya GX, je ni kwa nini?
Mimi mwenyewe mgeniTuwekee picha zao tutofautishe.
Hizi zilikuwemo kwenye familia za warabu tu na wabongo wachache wale matajiri haswaa.Ila Jamaa wametoka mbali sana miaka ya 90 ukiwa na gari kama hii ulikuwa unaonekana mtu
View attachment 1628505
Hii ni 60 series kwa sasa wako 300 series.Ila Jamaa wametoka mbali sana miaka ya 90 ukiwa na gari kama hii ulikuwa unaonekana mtu
View attachment 1628505
Wajuba Arusha wanaumua prado TX wanaipeleka kwenye cruiser bila shida, sawa wa uumuaji wa defender watu wana balaaHii ni 60 series kwa sasa wako 300 series.
Hahaha inageuzwa 300 seriesWajuba Arusha wanaumua prado TX wanaipeleka kwenye cruiser bila shida, sawa wa uumuaji wa defender watu wana balaa