Mtamaduni Wahoo
Member
- Jan 31, 2013
- 7
- 0
Ni miaka mingi imepita tangu walipokianzisha miaka ile ya 90 sielewi lengo lao.Je ile ni saccos ya walimu au kinatetea haki za walimu?Walimu wetu wana hali mbaya kwani wengi hawapewi mishahara kamili.Kuna kitu wanaita malimbikizo 'yaani mwajiri kushikilia sehemu ya mshahara wako halafu akulipe siku akipenda.Ni nani mtetezi wa walimu?Ni kwa nini kukatwa%2 ya mshahara kila mwezi lakini hakuna mtetezi? CWT wataacha lini woga.MWISHO Ninavikaribisha vyama vingine kama TNN na UMET ili kuwaamsha hao CWT