Medical Dictionary
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,060
- 309
Magari yanajieleza.
Kabisa yaan mimi nawaza kuvuta Subaru na athletic yeye anawaza prado iliyotamba miaka ya tisin!!Magari yanajieleza.
Tunataste tofauti na usawa wa wallet pia...Kabisa yaan mimi nawaza kuvuta Subaru na athletic yeye anawaza prado iliyotamba miaka ya tisin!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye hatembei hata huko kwenye mamujini akaona wenzake vyombo wanavyovutaTunataste tofauti na usawa wa wallet pia...
Taarifa nazo ni muhimu...kama hauna taarifa ya magari yaliyopo utaishia kufikiria unayoyajua. Kama mfuko unalipa achukue runner 4th au 5th gen.
Hata hiyo hilux surf ina new model yake ni kali ile mbaya na washua kibao wanazoTunataste tofauti na usawa wa wallet pia...
Taarifa nazo ni muhimu...kama hauna taarifa ya magari yaliyopo utaishia kufikiria unayoyajua. Kama mfuko unalipa achukue runner 4th au 5th gen.
Nimewaza gari hizo kutokana na mazingira niliyopo. Nadrive offroad 20km daily. Naona hizo mbili ndio zitastahimili. Nimewaza pia Subaru forester new model, lakini baada ya miaka 2 naona itakua imekongoroka.Kabisa yaan mimi nawaza kuvuta Subaru na athletic yeye anawaza prado iliyotamba miaka ya tisin!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua Prado kwani ni 9-seater wakati Surf ni 5 seater. Inafaa kwa family pia.Nimewaza gari hizo kutokana na mazingira niliyopo. Nadrive offroad 20km daily. Naona hizo mbili ndio zitastahimili. Nimewaza pia Subaru forester new model, lakini baada ya miaka 2 naona itakua imekongoroka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aka sisi tvHilux Surf Ama Maarufu (Mohammed Dewji)
Hiyo Chombo Iko Sawa Sawa, Mtu Kasema Anaishi Barabara Korofi Watu Wanasema Subaru
Ungeuliza kwanza ni njia zipi atakuwa anatumia kila siku ili uje na hitimisho lako. After all, sio kila mtu ni fan wa hizo saloons(crown and the like).Kabisa yaan mimi nawaza kuvuta Subaru na athletic yeye anawaza prado iliyotamba miaka ya tisin!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua Surf mkuu, utakuwa unatembea huku unatabasamu!.. Siku hizi zipo new model zake, kali kinyama
Habari wana JF. Nina mpango wa kununua gari miezi ijayo mwaka huu. Ninaishi na kufanya kazi offroad. Hivyo nimefikiria kati ya machaguo mawili. Prado SX na Hilux Surf. Je nichukue ipi?
Nipo open kwa machaguo mengine pia.
View attachment 1349197
View attachment 1349200
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na surf tafadhali.. Huo ni ushauri wangu.. Surf sio gari inayoweza kuhimili mambo mengi
Jr[emoji769]