Km bajet inazingua chukua jata Ractis yenye 1Nz nayo ipo vizur tuh.Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wote na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Nipo mbele yenu kuwaomba ushauri, nahitaji kununua gari mojawapo kati ya Toyota Premio na ist. Najua humu wapo wanaomiliki magari haya, naombeni ushauri tafadhali, yote nayapenda.
NB: Ni kwa ajili ya kutembelea siyo, biashara. Mimi si mwandishi mzuri ila naamini nitakuwa nimeeleweka.
Asanteni sana.
Naona unampa matumaini mwenzio hapo mwambie anununue tu premio inaheshima kidogo kuliko hivyo vibaby walker.Km bajet inazingua chukua jata Ractis yenye 1Nz nayo ipo vizur tuh.
Ukikaa km upo kwenye Suv na ina but kubwa
Ni sahihi, lakini Racts nafikiri ni bora kuliko IST.Naona unampa matumaini mwenzio hapo mwambie anununue tu premio inaheshima kidogo kuliko hivyo vibaby walker.
Duuuh hii kaliNi sahihi, lakini Racts nafikiri ni bora kuliko IST.
Zumaridi anaitwa kingHakuna mwanamke anaitwa King, mimi dume mkuu [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
Primio zimepanda sana kwa sasa hiyo ni bei ya old modelAndaa 18 na kuendelea ila haizidi 23...
Sasa gharama za service zitafananaje kama wamiliki wana mahitaji tofauti? Mfano mimi nikiweka oil ya Castrol wewe ukaweka zile oil za kupima tutafananaje gharama?Naomben gharama za kufanaya service kwa ist, kuna ist nimeachiwa naofia mafundi watanipiga naomben ABC nielewe ninkias gan na oil gan nzur
Hizi ni akili za kitoto!Premio la kizee, Ist yebo yebo
So kazi kwako
Na km hujagundua hili bac n ww n mtotoHizi ni akili za kitoto!