Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Premio zipo nyingi kweli ila sio kama ist.Hahaha kuwasha ya watu? Mbona ata premio ziko nyingi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Premio zipo nyingi kweli ila sio kama ist.Hahaha kuwasha ya watu? Mbona ata premio ziko nyingi mkuu
Mzeee upo ndiuka ya Iringa hapa!?Njoo na 10 nikuachie premio yangu namba DA cc 1790 premio X
VIPI KWA GOLF MK7 (2013) KUHUSU GHARAMA ZA UENDESHAJI (FUEL CONSUMPTION & MAINTENANCE)?Altis aint for JDM or africa
Hapo ndo utaona utoufauti wa technology
Umeme wa mule haupishani na wajerumani
Kwanza chuma top speed yake 240+km/h
So issue ya maintenance usiichukulie corrolla altis kama hizi corolla polisi[emoji28]
Ina 4wd option?Njoo na 10 nikuachie premio yangu namba DA cc 1790 premio X
Haina 4wd emanuel primIna 4wd option?
new model ipoo vzuri zaidiIla premio hua ina sura mbaya sijui kwanini wadau wanapenda.
Premio zipi hizo ndg, gari ya ndoto yng ni premio.Ila premio hua ina sura mbaya sijui kwanini wadau wanapenda.
Hapo unaongelea old model ama new ?Premio zipi hizo ndg, gari ya ndoto yng ni premio.
Nikiiona hata mita 100 naitambua tu kuwa ile ni premio na huwa hainikinai kuiona jinsi inavutia.
Siku nimeiendesha ndo ilipo nihamisha akili kuona hukuna gari medium nzuri zaidi yake.
Zote mzee wangu.! New sijawahi ingia wala kuiendesha. New si hizi exhaust 2.?Hapo unaongelea old model ama new ?
Zote mzee wangu.! New sijawahi ingia wala kuiendesha. New si hizi exhaust 2.?
Nawaza kama old tamu vile je new model itakuaje!??
Okay sawa, nafikir ujio wake ni msiba kwa brevis.Newmodel nilishare picha yake tayari...
New inamaboresho sana ndani ipo very stylish
Ipo comfortable sana ..you feel like driving a car ,zile siti zake ni kama zinakubeba zpo vzuri sana
unapata smooth driving
less fuel consumption
Stability ipo kwenye zile zenye cc kubwa
Kuna utofauti mkubwa kati ya Consumption ya wese kati ya premio na ist ?Nilianza kumilika premio sasa niko kwenye IST(Maisha yameyumba kdgo)
Ushaur wangu..kama unataka comfortability chukua premio..ipo poa sana..sema shida ya premio inafumka sana ma bampa yake..sasa kama unaishi madongo kuinama itakuletea shida...ila all in all premio ni best ktk aspect zote ikowemo Space ndan
rafiki yangu alitumia mil 16, cc1490Kwani Toyota Premio ,ukiagiza hadi kufika mkononi mwako unatakiwa uwe na budget ya kiasi ganii kwa sasa?
itakua huijui premio wewe.Ila premio hua ina sura mbaya sijui kwanini wadau wanapenda.
Ntaijulia wapi mkuu?Lkn hio haiondoi ukweli Ile Ni gari mbaya Shapelessitakua huijui premio wewe.
Acha uongo mtakuwa hamjawahi kuionaNtaijulia wapi mkuu?Lkn hio haiondoi ukweli Ile Ni gari mbaya Shapeless