Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
King Zumaridi ni Mwanaume?Hakuna mwanamke anaitwa King, mimi dume mkuu [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
King Zumaridi ni Mwanaume?Hakuna mwanamke anaitwa King, mimi dume mkuu [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
nilichokuwa nimeeleza ambacho hakikuwa cha ukweli ni kipi hadi ukasema si kweli??Nimejenga hoja kwakuw najua kuhus x na F , ikiwa maelekezo yako yapshana na yangu kiuelewa na kuhus G sijui , nikiw najua viwili kuhus ulivyotaja nitofaut mimi nimejenga hoja wew leta maneno yako sasa
Zaid nimesoma huku Google wanamalekezo kuwa
X- Xtreme
F-....
Huwa Inapendeza sana maelezo yakiambatana na picha kama hv.gari yangu ya kwanza ilikuwa IST 1490cc nikauza nimehamia kwenye PREMIO 1790cc gari ipo poa sana kitu ambacho nashangaa 1790cc iko na fuel efficient kuliko IST ya 1490cc najiuliza au kwasababu gari ni mpya badoView attachment 2568738
View attachment 2568739
Humjui king zumaridi weweHakuna mwanamke anaitwa King, mimi dume mkuu [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
CHAGUA MWENYEWENi matumaini yangu kuwa hamjambo wote na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Nipo mbele yenu kuwaomba ushauri, nahitaji kununua gari mojawapo kati ya Toyota Premio na ist. Najua humu wapo wanaomiliki magari haya, naombeni ushauri tafadhali, yote nayapenda.
NB: Ni kwa ajili ya kutembelea siyo, biashara. Mimi si mwandishi mzuri ila naamini nitakuwa nimeeleweka.
Asanteni sana.
Subaru ForesterNi matumaini yangu kuwa hamjambo wote na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Nipo mbele yenu kuwaomba ushauri, nahitaji kununua gari mojawapo kati ya Toyota Premio na ist. Najua humu wapo wanaomiliki magari haya, naombeni ushauri tafadhali, yote nayapenda.
NB: Ni kwa ajili ya kutembelea siyo, biashara. Mimi si mwandishi mzuri ila naamini nitakuwa nimeeleweka.
Asanteni sana.
Asante mkuu nashukuru kwa pichagari yangu ya kwanza ilikuwa IST 1490cc nikauza nimehamia kwenye PREMIO 1790cc gari ipo poa sana kitu ambacho nashangaa 1790cc iko na fuel efficient kuliko IST ya 1490cc najiuliza au kwasababu gari ni mpya badoView attachment 2568738
View attachment 2568739
Yangu n X ina zigiZag lakn zpo x zngne hazn zigizag gearIpi kati ya X,F na G ina zigzag gear pale kwenye gear knob
Powa picha vp naweza kuiona?Yangu n X ina zigiZag lakn zpo x zngne hazn zigizag gear