Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
[emoji3][emoji3][emoji3]We nani akupige na IST banaaa[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]We nani akupige na IST banaaa[emoji1787]
hapo moja ni 1.5L, 1.8L na 2.0L japo sijafuata huo mlolongo wakoNaomb kujua utofaut wa hiz engine
F
G
X
hapo moja ni 1.5L, 1.8L na 2.0L japo sijafuata huo mlolongo wako
Kuna king zumarid lkn au umesahau?Hakuna mwanamke anaitwa King, mimi dume mkuu [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
X 1.5L ni kipimo cha nini au inatofautiana na 1.8L katika nn?Sio kweli
Zpo x za 1.5L NA 1.8L THE SAME TO F
G ndio cjui
X 1.5L ni kipimo cha nini au inatofautiana na 1.8L katika nn?
Nunua BMW X 7 mkuu ni Bora ZaidiNi matumaini yangu kuwa hamjambo wote na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Nipo mbele yenu kuwaomba ushauri, nahitaji kununua gari mojawapo kati ya Toyota Premio na ist. Najua humu wapo wanaomiliki magari haya, naombeni ushauri tafadhali, yote nayapenda.
NB: Ni kwa ajili ya kutembelea siyo, biashara. Mimi si mwandishi mzuri ila naamini nitakuwa nimeeleweka.
Asanteni sana.
Asante,Mkuu huo ni ukubwa wa enjine
1490cc =1.5L
1990/2000cc = 2.0L
1790/1800cc = 1.8L
Ni ukuvwa wa engine kima kenikia na mafuta kinyume utumie cc au mfumo huo
mwenyewe unakili G hujui halafu unasema sio kweli, ni nini ambacho sio kweli hapo?Sio kweli
Zpo x za 1.5L NA 1.8L THE SAME TO F
G ndio cjui
Hata premio fuel consumption ipo normalSio ist tu yan kwa maisha ya sasa iv chukua gar yenye cc 1290-1500 chukua jamii ya toyota ist, raum, ranx alex huto umiza kichwa juu ya sevis au mafuta. Usichukue jamii nyingine maana kuna voxywagen ina cc 1300 lakini kanakula mafuta sawa na brivenga 😁
Pia Premio lina muonekano mzuri zaidiJapo watu wanapend kushaur wengine has wanaao anz kumilka gari la kwanz liwe IST,
Mimi sipingan nao lakin pia nawez kuongezea Gari hili mimi ndio la kwanza lakin naish nalo poa sana Toyota PREMIO x 1.8L comfortable power zaid ukiw na safar mtu awez kukadiria kuw wew ni masikin au tajir pia linatunzka sana
Mtoa mada Go for premio 1.5L/1.8L
Au IST 1.5L
LAKN UNGESEMA MAZINGRA YA MATUMIZ YAKO KAMA UNA SAFAR FULAN NDEFU NA NI MTU WAKUBEBA FAMILIA NA Zaga zaga nenda kwa premio
Ipi kati ya X,F na G ina zigzag gear pale kwenye gear knobJapo watu wanapend kushaur wengine has wanaao anz kumilka gari la kwanz liwe IST,
Mimi sipingan nao lakin pia nawez kuongezea Gari hili mimi ndio la kwanza lakin naish nalo poa sana Toyota PREMIO x 1.8L comfortable power zaid ukiw na safar mtu awez kukadiria kuw wew ni masikin au tajir pia linatunzka sana
Mtoa mada Go for premio 1.5L/1.8L
Au IST 1.5L
LAKN UNGESEMA MAZINGRA YA MATUMIZ YAKO KAMA UNA SAFAR FULAN NDEFU NA NI MTU WAKUBEBA FAMILIA NA Zaga zaga nenda kwa premio
Zumaridi mbona anaitwa Mfalme.?Hakuna mwanamke anaitwa King, mimi dume mkuu [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
chukua Corolla Altis
kweli mkuu chuma nimeipanda juzi ilikuwa IT dah sio mchezo ikabidi niliposhuka kuangalia ni corola nikajiuliza hii ni corola gani ya hivi? hahahAltis aint for JDM or africa
Hapo ndo utaona utoufauti wa technology
Umeme wa mule haupishani na wajerumani
Kwanza chuma top speed yake 240+km/h
So issue ya maintenance usiichukulie corrolla altis kama hizi corolla polisi[emoji28]
Nimejenga hoja kwakuw najua kuhus x na F , ikiwa maelekezo yako yapshana na yangu kiuelewa na kuhus G sijui , nikiw najua viwili kuhus ulivyotaja nitofaut mimi nimejenga hoja wew leta maneno yako sasamwenyewe unakili G hujui halafu unasema sio kweli, ni nini ambacho sio kweli hapo?