Ninunue gari gani kati ya Toyota IST na Toyota Premio?

Ninunue gari gani kati ya Toyota IST na Toyota Premio?

Mchawi budget. Premio itakua ghali zaidi kuliko IST.

Kama ni gari yako ya kwanza chukua IST tu itakua poa. Ingawa zote engine zitadumu muda mrefu sana ila body la IST litadumu zaidi.

Sina cha kuongeza kama una budget go for premio
Ila jua kuna premio F,G na X engine tofauti

IST ni nzuri pia,will never disappoint you
Spare kila kona,body imenyooka gari iko juu
 
Sina cha kuongeza kama una budget go for premio
Ila jua kuna premio F,G na X engine tofauti

IST ni nzuri pia,will never disappoint you
Spare kila kona,body imenyooka gari iko juu
Naomba tofauti ya hizo engine ndugu maana mi najua tu tofauti ni cc zile za 1290 cc na 1490 cc.
 
[emoji28]


Watu mnamajungu sana ila kama matumiz yako ni ya town tu na sio ya sifa ist ni the best
Hapana ndg sio majungu ni uhalisia.! Upo sahihi Ist ni nzuri ndo maana zimekua kwa wiki mjini na vijijin.!
 
Kwa wasiofahamu kuhusu IST hapa Tanzania, basi wafahamu haya:
1. Ndio gari pekee ambayo wamiliki wake wengi huwajuti kuimiliki ukilinganisha na wamiliki wa gari zingine.

2. Services na Spare parts zake zinafanyika na kupatikana kirahisi popote kwa wakati wote hapa Tanzania.

3. Ndio gari ambayo watu wengi wenye kumiliki magari mengine hutamani pia kuimiliki kama backup car.

4. Ndio gari rahisi zaidi kuuzika tena kwa bei nzuri.
 
Usijihangaishe na chochote, wewe chukua IST, utakuja kunishukuru.
Kwa zama hizi IST ndio usafiri rafiki na imara zaidi kwa mzalendo wa mjini anayeanza kumiliki gari.
Sio ist tu yan kwa maisha ya sasa iv chukua gar yenye cc 1290-1500 chukua jamii ya toyota ist, raum, ranx alex huto umiza kichwa juu ya sevis au mafuta. Usichukue jamii nyingine maana kuna voxywagen ina cc 1300 lakini kanakula mafuta sawa na brivenga 😁
 
Sio ist tu yan kwa maisha ya sasa iv chukua gar yenye cc 1290-1500 chukua jamii ya toyota ist, raum, ranx alex huto umiza kichwa juu ya sevis au mafuta. Usichukue jamii nyingine maana kuna voxywagen ina cc 1300 lakini kanakula mafuta sawa na brivenga [emoji16]
Hata polo?
 
Chukua
Oil lita 4. Bei kawaida 45000 had 50000, bei juu 50000 hadi 120000
Filter 5000/- ckumbuk vzr
Ptia mifumo midogo kama plug airt filter
Osha gar 10000
Kagua miguu na uvunguni

Mlipe fundi 25000 had 30000
Naomben gharama za kufanaya service kwa ist, kuna ist nimeachiwa naofia mafundi watanipiga naomben ABC nielewe ninkias gan na oil gan nzur
 
Sina cha kuongeza kama una budget go for premio
Ila jua kuna premio F,G na X engine tofauti

IST ni nzuri pia,will never disappoint you
Spare kila kona,body imenyooka gari iko juu
Naomb kujua utofaut wa hiz engine
F
G
X
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Japo watu wanapend kushaur wengine has wanaao anz kumilka gari la kwanz liwe IST,
Mimi sipingan nao lakin pia nawez kuongezea Gari hili mimi ndio la kwanza lakin naish nalo poa sana Toyota PREMIO x 1.8L comfortable power zaid ukiw na safar mtu awez kukadiria kuw wew ni masikin au tajir pia linatunzka sana

Mtoa mada Go for premio 1.5L/1.8L
Au IST 1.5L

LAKN UNGESEMA MAZINGRA YA MATUMIZ YAKO KAMA UNA SAFAR FULAN NDEFU NA NI MTU WAKUBEBA FAMILIA NA Zaga zaga nenda kwa premio
 
Back
Top Bottom