Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Ist New model
Utamponza wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ist New model
Hakuna mwanamke anaitwa King, mimi dume mkuu [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅Utamponza wewe
Utamponza wewe
Yupo King (Mfalme) Zumaridi huko MwanzaHakuna mwanamke anaitwa King, mimi dume mkuu [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
HAtaki ya kukamata ..anataka ya kuendesha chiefAchana na hizo gari kamata crown majesta.
😂 sawa mkuuHAtaki ya kukamata ..anataka ya kuendesha chief
Old model ama new model?Kwani Toyota Premio ,ukiagiza hadi kufika mkononi mwako unatakiwa uwe na budget ya kiasi ganii kwa sasa?
Unasemaje wewe?Hakuna mwanamke anaitwa King, mimi dume mkuu 😂 😂😂😂
New modelOld model ama new model?
Mpigie aliekuachia akuambie huwa anaweka oil gani na filter brand gani.Naomben gharama za kufanaya service kwa ist, kuna ist nimeachiwa naofia mafundi watanipiga naomben ABC nielewe ninkias gan na oil gan nzur
Andaa 18 na kuendelea ila haizidi 23...New model
New model
Hizi new model...Old model ama new model?
Hahaha kuwasha ya watu? Mbona ata premio ziko nyingi mkuuSimiliki gari lakini nayafuatilia kiasi flani. Napendezwa na premio kuliko ist.
Ist ni nyingi mno unaweza kuwasha ist ya watu ukidhani ni yako. Pia hata comfortability ndani, premio is superior.
Nunua premioNi matumaini yangu kuwa hamjambo wote na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Nipo mbele yenu kuwaomba ushauri, nahitaji kununua gari mojawapo kati ya Toyota Premio na ist. Najua humu wapo wanaomiliki magari haya, naombeni ushauri tafadhali, yote nayapenda.
NB: Ni kwa ajili ya kutembelea siyo, biashara. Mimi si mwandishi mzuri ila naamini nitakuwa nimeeleweka.
Asanteni sana.