cha tabora
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 424
- 208
Kiongozi masihara hayo new model kwa 15m na vibali Juu? Labda hujapita TRA.Crown new model inakufaa nipm nnayo bei 15m yard ina vibali vyote
Ya 2003 model jzx ushuru ni ml 9.5.Kiongozi masihara hayo new model kwa 15m na vibali Juu? Labda hujapita TRA.
Wakat crown ya 2013 Tu used inafika 40msKiongozi masihara hayo new model kwa 15m na vibali Juu? Labda hujapita TRA.
Lejea kichwa cha habari: Ni nunue ipi kati ya Toyota Crown au Mark X.
Dah kumbe crown still ni very very cheap, check Nissan Z 350 ya 2006 ushuru tu 19mil afu ni couple car (Ya watu 2 tu)Wakat crown ya 2013 Tu used inafika 40ms
Royalle mkuu
uu Upo mkuu kumyaa sana.vipi ilizinguaga tena?? Kimyaa kbs hukunipa feedbackMbalamwezi chukua crown cc 2500 hutajuta.
Shukran kiongozi!ila huwa sinunuagi magari ya yard hapa bongo huwa naagiza!Crown new model inakufaa nipm nnayo bei 15m yard ina vibali vyote
Mmmh!crown 15M!!kaka unataka kuntapeli nini?au crown ya 1980 iyo?!Crown new model inakufaa nipm nnayo bei 15m yard ina vibali vyote
Ewaaa!ths is wht I want asante mtaalam!Mbalamwezi, Crown ziko za versions 14 kuanzia zilipoanza kutengenezwa mwaka 1955. Crown nyingi tunazotumia hivi sasa ni version/kizazi cha 12 (12th Generation) ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2003-2008. Ukubwa/uwezo wa Engine unaanzia 2490 (4GR), 2990 (3GR), 3490 (2GR) na 4290 (V8).
Mark X ni mwendelezo wa Mark II na ilikuja kuibadili Verossa ambayo haikufanya vizuri kwenye soko. Mark X ina Engine zenye ukubwa/uwezo kuanzia 2490 (GRX120), 2990 (GRX125) na 3490 (GRX130).
Average consumption ya mafuta ni 8.6 -10km kwa lita moja kutegemea na mazingira (mjini kwenye mijifoleni au nje ya mji/kusiko na mafoleni makubwa), uendeshaji na uzima wa gari kwa ujumla (engine, aina ya tairi, kiasi cha upepo kwenye tairi, wheel balance na alignment).
Ukitaka kuendesha kama Michael Schumacher ndipo utajua kama inabwia au inamwaga mafuta.
Gari zote mbili zina comfortability ya hali ya juu.
Kwa kigezo cha nafasi crown ni spacious zaidi. Chukua crown kutegemea na injini utakayoipenda. The Higher the CC the better the performance.
Preta nae utamuweza?!huyu atakuwa mfanyabiashara tu!Hivi kasema anauza......au kauliza anunue ipi kati ya hizo.......
Nlikuwa naiwaza Royal Saloon mkuuRoyalle mkuu
Yap!ingawa nlikuwa naiwaza Royal SaloonToyota Crown tena ile Athlete Mark X zishakuwa too much au
Kama nimekuelewa mkuu umemaanisha crowncrow
Nilibadilisha oil ya gear box number 4 ndio ikawa poa.Mk
uu Upo mkuu kumyaa sana.vipi ilizinguaga tena?? Kimyaa kbs hukunipa feedback