Ninunue ipi Toyota Mark X au Crown?

Ninunue ipi Toyota Mark X au Crown?

Mbalamwezi, Crown ziko za versions 14 kuanzia zilipoanza kutengenezwa mwaka 1955. Crown nyingi tunazotumia hivi sasa ni version/kizazi cha 12 (12th Generation) ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2003-2008. Ukubwa/uwezo wa Engine unaanzia 2490 (4GR), 2990 (3GR), 3490 (2GR) na 4290 (V8).

Mark X ni mwendelezo wa Mark II na ilikuja kuibadili Verossa ambayo haikufanya vizuri kwenye soko. Mark X ina Engine zenye ukubwa/uwezo kuanzia 2490 (GRX120), 2990 (GRX125) na 3490 (GRX130).

Average consumption ya mafuta ni 8.6 -10km kwa lita moja kutegemea na mazingira (mjini kwenye mijifoleni au nje ya mji/kusiko na mafoleni makubwa), uendeshaji na uzima wa gari kwa ujumla (engine, aina ya tairi, kiasi cha upepo kwenye tairi, wheel balance na alignment).

Ukitaka kuendesha kama Michael Schumacher ndipo utajua kama inabwia au inamwaga mafuta.

Gari zote mbili zina comfortability ya hali ya juu.

Kwa kigezo cha nafasi crown ni spacious zaidi. Chukua crown kutegemea na injini utakayoipenda. The Higher the CC the better the performance.
Ewaaa!ths is wht I want asante mtaalam!
 
Kama ni mimi ningenunua camry 2006 model 2.0 vvti. Gari nzuri sana aisee kwanza ni v4
 
Nyie mnamshauri ujinga tu huyu Dogo. Mngemuuliza na kazi anayofanya. Nduo kwanza ni kamwalimu ka mwaka wa kwanza. Kamekimbilia NMB kuchukua mkopo take home sallary imekai 350k mnamshauri achukue Crown. Huyu yake nia Carat,vitz,duet,march kazidi sana IST. Gari anzaotaka ni ndoa za Kikristo hizo.
 
Back
Top Bottom