Lejea kichwa cha habari: Ni nunue ipi kati ya Toyota Crown au Mark X.
Lejea.......?......ndio nini.....?...
Lejea.......?......ndio nini.....?...
Hapa nimekuelewaMbalamwezi, Crown ziko za versions 14 kuanzia zilipoanza kutengenezwa mwaka 1955. Crown nyingi tunazotumia hivi sasa ni version/kizazi cha 12 (12th Generation) ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2003-2008. Ukubwa/uwezo wa Engine unaanzia 2490 (4GR), 2990 (3GR), 3490 (2GR) na 4290 (V8).
Mark X ni mwendelezo wa Mark II na ilikuja kuibadili Verossa ambayo haikufanya vizuri kwenye soko. Mark X ina Engine zenye ukubwa/uwezo kuanzia 2490 (GRX120), 2990 (GRX125) na 3490 (GRX130).
Average consumption ya mafuta ni 8.6 -10km kwa lita moja kutegemea na mazingira (mjini kwenye mijifoleni au nje ya mji/kusiko na mafoleni makubwa), uendeshaji na uzima wa gari kwa ujumla (engine, aina ya tairi, kiasi cha upepo kwenye tairi, wheel balance na alignment).
Ukitaka kuendesha kama Michael Schumacher ndipo utajua kama inabwia au inamwaga mafuta.
Gari zote mbili zina comfortability ya hali ya juu.
Kwa kigezo cha nafasi crown ni spacious zaidi. Chukua crown kutegemea na injini utakayoipenda. The Higher the CC the better the performance.
Okay, nimekuelewa.😱😱😱na wewe ni wale wale. angalia comment ya preta aliyem quote halafu ujione ulichojibu. preta kamshangaa maana mleta mada kasema anataka kununua na aliye andikiwa na preta kasema uza, wewe pasipo kuelewa unamsahihisha preta
Ya mwaka 2010 Tu ni 40m tena used sasa nashangaa new model ipi hyo ya bei chee kihivoMmmh!crown 15M!!kaka unataka kuntapeli nini?au crown ya 1980 iyo?!
Acha kufananisha crown na vitu visivyo na hadhi yakeWakuu kichwa cha habari chahusika,nataka ninunue moja kati ya hizo gari,ushauri wenu plz based on xperience and technicalities juu ya hizo gari!Asenti!
Ah ah ah!this is impossible ... unless u want to con someone ...Crown new model inakufaa nipm nnayo bei 15m yard ina vibali vyote
Mimi niko MOROGORO,nina mpango wa kununua TOYOTA voltz,ila kuna jamaa kanivunja moyo kidogo.Nakushauri nunua TOYOTA VOLTZ
Kwa mtazamo wako ila kwa nijuavyo na ninavyofahamu kwa sasa zipo nyingi na spare zipo,ulaji wake wa mafuta uko chini sana na ukinunua chukua yenye 4WDMimi niko MOROGORO,nina mpango wa kununua TOYOTA voltz,ila kuna jamaa kanivunja moyo kidogo.
Jamaa kanambia kutokana na uchache wa hizi gari,upatikanaji wa spare utanipa shida kidogo.Bado natafakari kuhusu maamuzi ya kuitwaa hii ndinga.
Basi chukua crown halafu nije kumng'oa huyo totoz wako na mark X...Totoz napenda ila siendekezi coz hata my yf ni bonge la totoz
Kwa kukuweka sawa tu GRX ni Frame number kiongozi, Engine ya Mark X na Crown ni moja yenye code 4GR-FSEMbalamwezi, Crown ziko za versions 14 kuanzia zilipoanza kutengenezwa mwaka 1955. Crown nyingi tunazotumia hivi sasa ni version/kizazi cha 12 (12th Generation) ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2003-2008. Ukubwa/uwezo wa Engine unaanzia 2490 (4GR), 2990 (3GR), 3490 (2GR) na 4290 (V8).
Mark X ni mwendelezo wa Mark II na ilikuja kuibadili Verossa ambayo haikufanya vizuri kwenye soko. Mark X ina Engine zenye ukubwa/uwezo kuanzia 2490 (GRX120), 2990 (GRX125) na 3490 (GRX130).
Average consumption ya mafuta ni 8.6 -10km kwa lita moja kutegemea na mazingira (mjini kwenye mijifoleni au nje ya mji/kusiko na mafoleni makubwa), uendeshaji na uzima wa gari kwa ujumla (engine, aina ya tairi, kiasi cha upepo kwenye tairi, wheel balance na alignment).
Ukitaka kuendesha kama Michael Schumacher ndipo utajua kama inabwia au inamwaga mafuta.
Gari zote mbili zina comfortability ya hali ya juu.
Kwa kigezo cha nafasi crown ni spacious zaidi. Chukua crown kutegemea na injini utakayoipenda. The Higher the CC the better the performance.
Hii mashine sio masihara, labda uchangiwe na ukoo wenu si chini ya 70 million kuikamata hii chombo!
Great thinker, inapendeza sana unapotolewa ufafanuzi wa aina hii.Mbalamwezi, Crown ziko za versions 14 kuanzia zilipoanza kutengenezwa mwaka 1955. Crown nyingi tunazotumia hivi sasa ni version/kizazi cha 12 (12th Generation) ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2003-2008. Ukubwa/uwezo wa Engine unaanzia 2490 (4GR), 2990 (3GR), 3490 (2GR) na 4290 (V8).
Mark X ni mwendelezo wa Mark II na ilikuja kuibadili Verossa ambayo haikufanya vizuri kwenye soko. Mark X ina Engine zenye ukubwa/uwezo kuanzia 2490 (GRX120), 2990 (GRX125) na 3490 (GRX130).
Average consumption ya mafuta ni 8.6 -10km kwa lita moja kutegemea na mazingira (mjini kwenye mijifoleni au nje ya mji/kusiko na mafoleni makubwa), uendeshaji na uzima wa gari kwa ujumla (engine, aina ya tairi, kiasi cha upepo kwenye tairi, wheel balance na alignment).
Ukitaka kuendesha kama Michael Schumacher ndipo utajua kama inabwia au inamwaga mafuta.
Gari zote mbili zina comfortability ya hali ya juu.
Kwa kigezo cha nafasi crown ni spacious zaidi. Chukua crown kutegemea na injini utakayoipenda. The Higher the CC the better the performance.