Ninunue ipi Toyota Mark X au Crown?

Ninunue ipi Toyota Mark X au Crown?

Lejea kichwa cha habari: Ni nunue ipi kati ya Toyota Crown au Mark X.


na wewe ni wale wale. angalia comment ya preta aliyem quote halafu ujione ulichojibu. preta kamshangaa maana mleta mada kasema anataka kununua na aliye andikiwa na preta kasema uza, wewe pasipo kuelewa unamsahihisha preta
 
Mbalamwezi, Crown ziko za versions 14 kuanzia zilipoanza kutengenezwa mwaka 1955. Crown nyingi tunazotumia hivi sasa ni version/kizazi cha 12 (12th Generation) ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2003-2008. Ukubwa/uwezo wa Engine unaanzia 2490 (4GR), 2990 (3GR), 3490 (2GR) na 4290 (V8).

Mark X ni mwendelezo wa Mark II na ilikuja kuibadili Verossa ambayo haikufanya vizuri kwenye soko. Mark X ina Engine zenye ukubwa/uwezo kuanzia 2490 (GRX120), 2990 (GRX125) na 3490 (GRX130).

Average consumption ya mafuta ni 8.6 -10km kwa lita moja kutegemea na mazingira (mjini kwenye mijifoleni au nje ya mji/kusiko na mafoleni makubwa), uendeshaji na uzima wa gari kwa ujumla (engine, aina ya tairi, kiasi cha upepo kwenye tairi, wheel balance na alignment).

Ukitaka kuendesha kama Michael Schumacher ndipo utajua kama inabwia au inamwaga mafuta.

Gari zote mbili zina comfortability ya hali ya juu.

Kwa kigezo cha nafasi crown ni spacious zaidi. Chukua crown kutegemea na injini utakayoipenda. The Higher the CC the better the performance.
Hapa nimekuelewa
 
na wewe ni wale wale. angalia comment ya preta aliyem quote halafu ujione ulichojibu. preta kamshangaa maana mleta mada kasema anataka kununua na aliye andikiwa na preta kasema uza, wewe pasipo kuelewa unamsahihisha preta
Okay, nimekuelewa.😱😱😱
 
Wakuu kichwa cha habari chahusika,nataka ninunue moja kati ya hizo gari,ushauri wenu plz based on xperience and technicalities juu ya hizo gari!Asenti!
Acha kufananisha crown na vitu visivyo na hadhi yake
 
AUTOCOM JAPAN- USED CAR EXPORTERS –

MAGARI MAZURI KWA BEI POA

Je unahitaji kuagiza gari toka Japan?

Je unahitaji kupata gari nzuri toka Japan kwa bei nafuu na kwa muda mfupi?

Tafadhali wasiliana nasi ili kuweza kupata utaratibu wa kuagiza gari kwa bei nafuu na kwa muda mfupi zaidi.

Tembelea offisi zetu@ Quality center mall – Nyerere/Pugu road, Dar es salaam

Simu/whatsapp: +255 674 518 707

Email: msuya.autocj@gmail.com : msuya@autocj.co.jp

Website: Japanese Used Cars Stock List | Autocom Japan

KWA SWALI LOLOTE KUHUSU MAGARI NA BEI FROM JAPAN TO EAST AFRICA STATES PLEASE NIPIGIE KWA HIO NO MDA WOWOTE , FEEL FREE.
#
MARK X 2011 , TOTAL PRICE 34 MILLION - FROM JAPAN MPAKA MLANGONI KWAKO ( DAR ES SALAAM)

297937-01.jpg



MARK X 2006, TOTAL PRICE 16.4 MILLION , TO UA DOOR STEP (DAR ES SALAAM)

289904-01.jpg




TOYOTA CROWN 2011 - TOTAL PRICE 43.6MILLION
291314-16.jpg



CROWN 2004 - TOTAL PRICE 16.7MILLION
295926-01.jpg
 
Nakushauri nunua TOYOTA VOLTZ
Mimi niko MOROGORO,nina mpango wa kununua TOYOTA voltz,ila kuna jamaa kanivunja moyo kidogo.
Jamaa kanambia kutokana na uchache wa hizi gari,upatikanaji wa spare utanipa shida kidogo.Bado natafakari kuhusu maamuzi ya kuitwaa hii ndinga.
 
Mimi niko MOROGORO,nina mpango wa kununua TOYOTA voltz,ila kuna jamaa kanivunja moyo kidogo.
Jamaa kanambia kutokana na uchache wa hizi gari,upatikanaji wa spare utanipa shida kidogo.Bado natafakari kuhusu maamuzi ya kuitwaa hii ndinga.
Kwa mtazamo wako ila kwa nijuavyo na ninavyofahamu kwa sasa zipo nyingi na spare zipo,ulaji wake wa mafuta uko chini sana na ukinunua chukua yenye 4WD
 
Mbalamwezi, Crown ziko za versions 14 kuanzia zilipoanza kutengenezwa mwaka 1955. Crown nyingi tunazotumia hivi sasa ni version/kizazi cha 12 (12th Generation) ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2003-2008. Ukubwa/uwezo wa Engine unaanzia 2490 (4GR), 2990 (3GR), 3490 (2GR) na 4290 (V8).

Mark X ni mwendelezo wa Mark II na ilikuja kuibadili Verossa ambayo haikufanya vizuri kwenye soko. Mark X ina Engine zenye ukubwa/uwezo kuanzia 2490 (GRX120), 2990 (GRX125) na 3490 (GRX130).

Average consumption ya mafuta ni 8.6 -10km kwa lita moja kutegemea na mazingira (mjini kwenye mijifoleni au nje ya mji/kusiko na mafoleni makubwa), uendeshaji na uzima wa gari kwa ujumla (engine, aina ya tairi, kiasi cha upepo kwenye tairi, wheel balance na alignment).

Ukitaka kuendesha kama Michael Schumacher ndipo utajua kama inabwia au inamwaga mafuta.

Gari zote mbili zina comfortability ya hali ya juu.

Kwa kigezo cha nafasi crown ni spacious zaidi. Chukua crown kutegemea na injini utakayoipenda. The Higher the CC the better the performance.
Kwa kukuweka sawa tu GRX ni Frame number kiongozi, Engine ya Mark X na Crown ni moja yenye code 4GR-FSE
ambayo pia utaikuta kwenye Lexus IS250 current Altezza
 
Mbalamwezi, Crown ziko za versions 14 kuanzia zilipoanza kutengenezwa mwaka 1955. Crown nyingi tunazotumia hivi sasa ni version/kizazi cha 12 (12th Generation) ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2003-2008. Ukubwa/uwezo wa Engine unaanzia 2490 (4GR), 2990 (3GR), 3490 (2GR) na 4290 (V8).

Mark X ni mwendelezo wa Mark II na ilikuja kuibadili Verossa ambayo haikufanya vizuri kwenye soko. Mark X ina Engine zenye ukubwa/uwezo kuanzia 2490 (GRX120), 2990 (GRX125) na 3490 (GRX130).

Average consumption ya mafuta ni 8.6 -10km kwa lita moja kutegemea na mazingira (mjini kwenye mijifoleni au nje ya mji/kusiko na mafoleni makubwa), uendeshaji na uzima wa gari kwa ujumla (engine, aina ya tairi, kiasi cha upepo kwenye tairi, wheel balance na alignment).

Ukitaka kuendesha kama Michael Schumacher ndipo utajua kama inabwia au inamwaga mafuta.

Gari zote mbili zina comfortability ya hali ya juu.

Kwa kigezo cha nafasi crown ni spacious zaidi. Chukua crown kutegemea na injini utakayoipenda. The Higher the CC the better the performance.
Great thinker, inapendeza sana unapotolewa ufafanuzi wa aina hii.
 
Back
Top Bottom