Heron
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 1,946
- 1,800
Hii mashine sio masihara, labda uchangiwe na ukoo wenu si chini ya 70 million kuikamata hii chombo!
Ahsante kwahiyo wewe 70m mnatafutana ukoo mzima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mashine sio masihara, labda uchangiwe na ukoo wenu si chini ya 70 million kuikamata hii chombo!
Huwezi jua mkuu, binafsi sina hizo hela kwa sasa! We vipi unazo hizo?Ahsante kwahiyo wewe 70m mnatafutana ukoo mzima?
Huwezi jua mkuu, binafsi sina hizo hela kwa sasa! We vipi unazo hizo?
Ni utani tu mkuu sikuwaza kama umr catch feelings aisee, anyways freshi lakini usiwaze!Huoni kuwa ulifanya kama kejeli kunambia kuinunua hiyo lazma tuungane ukoo mzima?
Nikahisi labda na wewe ni sehem ya ukoo kwa hiyo unaujua vyema na mim peke yangu siwezi,labda tuungane watu sijui elfu ngapi hv. Ndo nikarejesha comment ile ile kwako.
Thank you anyway
Pamoja BossNi utani tu mkuu sikuwaza kama umr catch feelings aisee, anyways freshi lakini usiwaze!
mark ten ni mwendelezo mark two..Mbalamwezi, Crown ziko za versions 14 kuanzia zilipoanza kutengenezwa mwaka 1955. Crown nyingi tunazotumia hivi sasa ni version/kizazi cha 12 (12th Generation) ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2003-2008. Ukubwa/uwezo wa Engine unaanzia 2490 (4GR), 2990 (3GR), 3490 (2GR) na 4290 (V8).
Mark X ni mwendelezo wa Mark II na ilikuja kuibadili Verossa ambayo haikufanya vizuri kwenye soko. Mark X ina Engine zenye ukubwa/uwezo kuanzia 2490 (GRX120), 2990 (GRX125) na 3490 (GRX130).
Average consumption ya mafuta ni 8.6 -10km kwa lita moja kutegemea na mazingira (mjini kwenye mijifoleni au nje ya mji/kusiko na mafoleni makubwa), uendeshaji na uzima wa gari kwa ujumla (engine, aina ya tairi, kiasi cha upepo kwenye tairi, wheel balance na alignment).
Ukitaka kuendesha kama Michael Schumacher ndipo utajua kama inabwia au inamwaga mafuta.
Gari zote mbili zina comfortability ya hali ya juu.
Kwa kigezo cha nafasi crown ni spacious zaidi. Chukua crown kutegemea na injini utakayoipenda. The Higher the CC the better the performance.