Xt , ni karibu dola 150000 if my memmory serves me right., unaongelea mil 300 na ushee , xt inakuja hapa kwetu ikiwa ni euro 3 compliantMkuu una hakika P360 pale Saab Scania ni million 150 tu? Inakuwa ya mwaka gani? Ni hizi XT?
Chukua Mchina 3 mswedeni tatu utest upate experience binafsi then utaamua ubase na mchina au mswedeni kwa ununuzi wa piliSo unashauri nini kiongozi...
Hata mkeo akiamua ni stress tupu mkuuInabidi upige hesabu vizuri sana ili.uweze kujustfy idea zako,
Biashara ya lori haiwezi.kuwa stress free hata siku moja , ndo maana inatakiwa ifanywe na watu ambao wanavumilia magumu.
Siamini sana gari ya kichina over mtumba , ila nafahamu zote hizo mbili zikiamua kukuchachafya lazima ulale na viatu.
Kwa mtu mwenye kazi ngumu kama hizo za migodini , likasi ,kolwezi na kadhalika , kununua scania ya Uk ni kujitafutia matatizo tu.Why buying from Scania? UK kuna Scania kibao Bei ya kutupa
?
Chukuwa scania mkuu utaleta mrejesho hapa parts zake zipo rundo na zina mafundi wazoefu sana, pia nakupa ujanja mara ununuapo gari za kichina badili sit ya dereva ndiyo inayoumiza kwa kweli.Scania, ni rahisi sana ku recover all your money au zaidi ukitaka kuuza... Na sababu nyingine nyingi, basi tu nina uvivu wa kuandika
Hapo kwa seat ya kubadilisha nimekupa nyota 3 .si zinapatikana seat za Scania?Chukuwa scania mkuu utaleta mrejesho hapa parts zake zipo rundo na zina mafundi wazoefu sana, pia nakupa ujanja mara ununuapo gari za kichina badili sit ya dereva ndiyo inayoumiza kwa kweli.
Mkuu ushauri wangu kwa structure ya kazi zako na huko unakokwenda , nakushauri gari ya kichina,Habari natumaini wakongwe mko vizuri
Nina mpango wa kuanzisha kampuni ya usafirishaji nikiwa na mpango wa kusafirisha mizigo kutoka nchini kwenda nchi jirani kwa maana DRC, Zambia, Burundi, Rwanda n.k
(Transit)
Katika kuuliza uliza nimekutana na mawazo makuu mawili ambayo yamekuwa yakinipa mawazo nikaona ni vyema niilete kwenu kwa majadiliano wakongwe
WAZO LA KWANZA
Wazo la kwanza ni kuchukua lori 0 Km kutoka kwa wachina aidha Howo au Faw
WAZO LA PILI
Wazo la pili ni kichukua scania used kutoka saab scania ambapo pale naweza kupata P360 iliyosimama
Trip ni kusafirisha makontena kuelekea maeneo kama vile Congo Kolwezi, Likasi, Lubumbash, Kasumbalesa, Lusaka, Rwanda, Burudi na Malawi
Hivyo basi nataka kujua gari sahihi ambalo wakongwe mtanishauri ninunue kutokana na aina ya safari zangu hizo
Tayari Agent yupo ambaye uhakika wa kutupa tenda za kusafirisha ni uhakika
Kwa kuanza tuna mpango wa kuanza na magari sita (06) lakini upo uwezekano wa kununua mpaka kumi na mbili (12)
UTAFITI WANGU WA AWALI
Gharama za mchina na Scania hazitofautiani sana mathalan kwa mfano ukienda kwa Dr Howo pale kurasini gari N7 na tella lake ambazo ni 0 Km ni $81,000 wakati saab scania used p 360 ni Tsh 150M , ukichukua na tella la superdol na bima na kila kitu ni kama 250M ambayo ni $106,000
MANUNUZI
Mchina:Truck and trailer (both brand new) $81,000
Scania : Used and trailer (brand new) $106,000
MAFUTA
Kwa upande wa mafuta wachina kwenye mafuta wako vizuri kwa maana trip ambayo scania atatumia lita 1900 mchina anaweza kutumia lita 1700 hiyo lita 200 unakuwa umeokoa ambayo ni takribani laki sita (600,000)
Kwa maana mchina gharama za ununuzi ziko chini, uendeshaji ziko chini ila hazidumu sana kwa maana baada ya miaka yako mitano gari kwisha kazi
Ila scania gharama za ununuzi ziko juu, uendeshaji, iko juu ila zinadumu hadi miaka saba hadi nane..
Naileta hii mada kwenu kwamba je niingie kwa mchina au niingie kwa msweeden?
WHY SAAB SCANIA NA SIO KUAGIZA SCANIA KUTOKA UINGEREZA
Watu wamenishauri kuagiza scania gharama haitofautiani iwapo ukaenda kununua saab scania lakini haina guarantee unaweza agiza gari kutoka UK used limetembea km 400,000 ukaanza safari kufika chalinze tu ngoma imesizi, hapo uneshapokea mzigo wa mtu ni lazima ufanye engine overhaul na mambo mengine mengi
Hapo unakuta unapoteza mpaka 9 M kwa engine na fundi etc
Lakini pia kwa upande wa kichina ni kwamba madereva wazuri wanazikimbia sababu ya aina ya magari kiafya sio rafiki kwao hivyo ukiwa na scania kama p360 ni rahisi kupata madereva wazuri kwani talent pool ya madereva wanaotaka kuendesha hizo p360 ni kubwa pia
Hivyo basi naomba kuuliza kwa gari 6 mpaka 12, agent tayari kashakuwa spotted anaweza kutupa kazi trip ni za kwenda Congo Kolwezi, Likasi, Lubumbash, Kasumbalesa, Lusaka, Rwanda, Burudi na Malawi je nishukue mchina au niingie kwa m sweeden naomba kujua sana sana technical know hows za hizi chuma mbili
Maana kuna watu wanashauri kuwa ni bora mchina na wengine wanashauri ni bora m sweeden used
Tayari eneo ambalo nitalifanya kama yard nimesha li spot ambapo ni Kibaha kwa mathias itakapokuwa makao makuu na main yard ya chuma kwa maana agent akikamilisha kila kitu chuma zinaamsha toka kibaha kwenda bandarini kupakia kisha kuamsha...
Natanguliza shukrani
C.T.UView attachment 2566531View attachment 2566532
Wachina wajanja sana sit wamefanya isimpe furaha dereva hata kidogo ili awe makini infacts sit za howo hazikupi comfort!Hapo kwa seat ya kubadilisha nimekupa nyota 3 .si zinapatikana seat za Scania?
Hata ubadilishe seat , bado hakuna comfort, structure nzima ya ile cabin pamoja na suspension ya pale mbele , hakuna namna inaweza kuwa comfortable.Wachina wajanja sana sit wamefanya isimpe furaha dereva hata kidogo ili awe makini infacts sit za howo hazikupi comfort!
Mbona GSM ameyajaza mengi na yote yako mtaani au madereva wanaendeshea shida?Hata ubadilishe seat , bado hakuna comfort, structure nzima ya ile cabin pamoja na suspension ya pale mbele , hakuna namna inaweza kuwa comfortable.
Cabin insulation pia ni poor kwenye gari za kichina , hii inamuumiza sana dereva kama atalala.kwenye sehemu zenye baridi , ni kama unalala kwenye hema tu.
Nunua 0km mkuu, in 3 years liuze na hela yako itakuwa imerudi na faida.Habari natumaini wakongwe mko vizuri
Nina mpango wa kuanzisha kampuni ya usafirishaji nikiwa na mpango wa kusafirisha mizigo kutoka nchini kwenda nchi jirani kwa maana DRC, Zambia, Burundi, Rwanda n.k
(Transit)
Katika kuuliza uliza nimekutana na mawazo makuu mawili ambayo yamekuwa yakinipa mawazo nikaona ni vyema niilete kwenu kwa majadiliano wakongwe
WAZO LA KWANZA
Wazo la kwanza ni kuchukua lori 0 Km kutoka kwa wachina aidha Howo au Faw
WAZO LA PILI
Wazo la pili ni kichukua scania used kutoka saab scania ambapo pale naweza kupata P360 iliyosimama
Trip ni kusafirisha makontena kuelekea maeneo kama vile Congo Kolwezi, Likasi, Lubumbash, Kasumbalesa, Lusaka, Rwanda, Burudi na Malawi
Hivyo basi nataka kujua gari sahihi ambalo wakongwe mtanishauri ninunue kutokana na aina ya safari zangu hizo
Tayari Agent yupo ambaye uhakika wa kutupa tenda za kusafirisha ni uhakika
Kwa kuanza tuna mpango wa kuanza na magari sita (06) lakini upo uwezekano wa kununua mpaka kumi na mbili (12)
UTAFITI WANGU WA AWALI
Gharama za mchina na Scania hazitofautiani sana mathalan kwa mfano ukienda kwa Dr Howo pale kurasini gari N7 na tella lake ambazo ni 0 Km ni $81,000 wakati saab scania used p 360 ni Tsh 150M , ukichukua na tella la superdol na bima na kila kitu ni kama 250M ambayo ni $106,000
MANUNUZI
Mchina:Truck and trailer (both brand new) $81,000
Scania : Used and trailer (brand new) $106,000
MAFUTA
Kwa upande wa mafuta wachina kwenye mafuta wako vizuri kwa maana trip ambayo scania atatumia lita 1900 mchina anaweza kutumia lita 1700 hiyo lita 200 unakuwa umeokoa ambayo ni takribani laki sita (600,000)
Kwa maana mchina gharama za ununuzi ziko chini, uendeshaji ziko chini ila hazidumu sana kwa maana baada ya miaka yako mitano gari kwisha kazi
Ila scania gharama za ununuzi ziko juu, uendeshaji, iko juu ila zinadumu hadi miaka saba hadi nane..
Naileta hii mada kwenu kwamba je niingie kwa mchina au niingie kwa msweeden?
WHY SAAB SCANIA NA SIO KUAGIZA SCANIA KUTOKA UINGEREZA
Watu wamenishauri kuagiza scania gharama haitofautiani iwapo ukaenda kununua saab scania lakini haina guarantee unaweza agiza gari kutoka UK used limetembea km 400,000 ukaanza safari kufika chalinze tu ngoma imesizi, hapo uneshapokea mzigo wa mtu ni lazima ufanye engine overhaul na mambo mengine mengi
Hapo unakuta unapoteza mpaka 9 M kwa engine na fundi etc
Lakini pia kwa upande wa kichina ni kwamba madereva wazuri wanazikimbia sababu ya aina ya magari kiafya sio rafiki kwao hivyo ukiwa na scania kama p360 ni rahisi kupata madereva wazuri kwani talent pool ya madereva wanaotaka kuendesha hizo p360 ni kubwa pia
Hivyo basi naomba kuuliza kwa gari 6 mpaka 12, agent tayari kashakuwa spotted anaweza kutupa kazi trip ni za kwenda Congo Kolwezi, Likasi, Lubumbash, Kasumbalesa, Lusaka, Rwanda, Burudi na Malawi je nishukue mchina au niingie kwa m sweeden naomba kujua sana sana technical know hows za hizi chuma mbili
Maana kuna watu wanashauri kuwa ni bora mchina na wengine wanashauri ni bora m sweeden used
Tayari eneo ambalo nitalifanya kama yard nimesha li spot ambapo ni Kibaha kwa mathias itakapokuwa makao makuu na main yard ya chuma kwa maana agent akikamilisha kila kitu chuma zinaamsha toka kibaha kwenda bandarini kupakia kisha kuamsha...
Natanguliza shukrani
C.T.UView attachment 2566531View attachment 2566532
Dola 80,000 plus , irudi ndani ya miaka 3? Na faida juu?Nunua 0km mkuu, in 3 years liuze na hela yako itakuwa imerudi na faida.
Hizo wanaziweza vijana , damu changaMbona GSM ameyajaza mengi na yote yako mtaani au madereva wanaendeshea shid
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Good idea mkuu umempa . Naona siku hizi kuna Scania zinatoka South Korea ni LHD anunue hizo au anunue za Scania za kwa Madiba aende mwenyewe kwenye yard la sivyo atakuja kulia hapa na fake website za Wa NigeriaNunua 0km mkuu, in 3 years liuze na hela yako itakuwa imerudi na faida.
Uhakika nina kaka yangu amenunua 120MMkuu una hakika P360 pale Saab Scania ni million 150 tu? Inakuwa ya mwaka gani? Ni hizi XT?
Nilikua nautafuta uzi wa kula tunda kimasikhara nikajikuta nimetokea hukuHabari natumaini wakongwe mko vizuri
Nina mpango wa kuanzisha kampuni ya usafirishaji nikiwa na mpango wa kusafirisha mizigo kutoka nchini kwenda nchi jirani kwa maana DRC, Zambia, Burundi, Rwanda n.k
(Transit)
Katika kuuliza uliza nimekutana na mawazo makuu mawili ambayo yamekuwa yakinipa mawazo nikaona ni vyema niilete kwenu kwa majadiliano wakongwe
WAZO LA KWANZA
Wazo la kwanza ni kuchukua lori 0 Km kutoka kwa wachina aidha Howo au Faw
WAZO LA PILI
Wazo la pili ni kichukua scania used kutoka saab scania ambapo pale naweza kupata P360 iliyosimama
Trip ni kusafirisha makontena kuelekea maeneo kama vile Congo Kolwezi, Likasi, Lubumbash, Kasumbalesa, Lusaka, Rwanda, Burudi na Malawi
Hivyo basi nataka kujua gari sahihi ambalo wakongwe mtanishauri ninunue kutokana na aina ya safari zangu hizo
Tayari Agent yupo ambaye uhakika wa kutupa tenda za kusafirisha ni uhakika
Kwa kuanza tuna mpango wa kuanza na magari sita (06) lakini upo uwezekano wa kununua mpaka kumi na mbili (12)
UTAFITI WANGU WA AWALI
Gharama za mchina na Scania hazitofautiani sana mathalan kwa mfano ukienda kwa Dr Howo pale kurasini gari N7 na tella lake ambazo ni 0 Km ni $81,000 wakati saab scania used p 360 ni Tsh 150M , ukichukua na tella la superdol na bima na kila kitu ni kama 250M ambayo ni $106,000
MANUNUZI
Mchina:Truck and trailer (both brand new) $81,000
Scania : Used and trailer (brand new) $106,000
MAFUTA
Kwa upande wa mafuta wachina kwenye mafuta wako vizuri kwa maana trip ambayo scania atatumia lita 1900 mchina anaweza kutumia lita 1700 hiyo lita 200 unakuwa umeokoa ambayo ni takribani laki sita (600,000)
Kwa maana mchina gharama za ununuzi ziko chini, uendeshaji ziko chini ila hazidumu sana kwa maana baada ya miaka yako mitano gari kwisha kazi
Ila scania gharama za ununuzi ziko juu, uendeshaji, iko juu ila zinadumu hadi miaka saba hadi nane..
Naileta hii mada kwenu kwamba je niingie kwa mchina au niingie kwa msweeden?
WHY SAAB SCANIA NA SIO KUAGIZA SCANIA KUTOKA UINGEREZA
Watu wamenishauri kuagiza scania gharama haitofautiani iwapo ukaenda kununua saab scania lakini haina guarantee unaweza agiza gari kutoka UK used limetembea km 400,000 ukaanza safari kufika chalinze tu ngoma imesizi, hapo uneshapokea mzigo wa mtu ni lazima ufanye engine overhaul na mambo mengine mengi
Hapo unakuta unapoteza mpaka 9 M kwa engine na fundi etc
Lakini pia kwa upande wa kichina ni kwamba madereva wazuri wanazikimbia sababu ya aina ya magari kiafya sio rafiki kwao hivyo ukiwa na scania kama p360 ni rahisi kupata madereva wazuri kwani talent pool ya madereva wanaotaka kuendesha hizo p360 ni kubwa pia
Hivyo basi naomba kuuliza kwa gari 6 mpaka 12, agent tayari kashakuwa spotted anaweza kutupa kazi trip ni za kwenda Congo Kolwezi, Likasi, Lubumbash, Kasumbalesa, Lusaka, Rwanda, Burudi na Malawi je nishukue mchina au niingie kwa m sweeden naomba kujua sana sana technical know hows za hizi chuma mbili
Maana kuna watu wanashauri kuwa ni bora mchina na wengine wanashauri ni bora m sweeden used
Tayari eneo ambalo nitalifanya kama yard nimesha li spot ambapo ni Kibaha kwa mathias itakapokuwa makao makuu na main yard ya chuma kwa maana agent akikamilisha kila kitu chuma zinaamsha toka kibaha kwenda bandarini kupakia kisha kuamsha...
Natanguliza shukrani
C.T.UView attachment 2566531View attachment 2566532