talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
nadhani kama ww ndio utakuwa director/production manager, cha muhimu zaidi kwenye hii ni ujuzi, maana kwa kiasi kikubwa hiyo ni art. Labda ungejitahidi hata kusoma kwa miezi 6 au mwaka video and visual arts katika chuo kinachoeleweka baada ya hapo....utajua unahitaji nini na utakuwa mfanisi zaidi. Mtaji mkubwa hapo ni ujuzi.....ni mtazamo tu....
U definitely need a camera, Cannon EOS 7d is probably the best in the market. U definitely need some PC capable of rendering video at the business pace sio uwe na computer ina render wimbo au mkanda wa harusi usiku kucha
Utahitaji software za video editing, sound editing and picture editor, Utahitaji mixer nk.....nk
Mimi ni layman sana ....na sikupaswa hata kukuamdikia hiki ninachoandika but I just wanted to make thread getting started watakuja akina Dully hapa, akina Game first quality watakuambia exactly nini cha kufanya
U definitely need a camera, Cannon EOS 7d is probably the best in the market. U definitely need some PC capable of rendering video at the business pace sio uwe na computer ina render wimbo au mkanda wa harusi usiku kucha
Utahitaji software za video editing, sound editing and picture editor, Utahitaji mixer nk.....nk
Mimi ni layman sana ....na sikupaswa hata kukuamdikia hiki ninachoandika but I just wanted to make thread getting started watakuja akina Dully hapa, akina Game first quality watakuambia exactly nini cha kufanya
U definitely need a camera, Cannon EOS 7d is probably the best in the market. U definitely need some PC capable of rendering video at the business pace sio uwe na computer ina render wimbo au mkanda wa harusi usiku kucha
Utahitaji software za video editing, sound editing and picture editor, Utahitaji mixer nk.....nk
Mimi ni layman sana ....na sikupaswa hata kukuamdikia hiki ninachoandika but I just wanted to make thread getting started watakuja akina Dully hapa, akina Game first quality watakuambia exactly nini cha kufanya
Its true, that camera is a piece of hardware. Pia kwa softwares, I recommend final cut pro ambayo ni ya mac I think its the best. Sidhani kama inahitaj sana kwenda chuo, youtube kuna tutorials za kutosha ambapo kama jamaa yupo makini anaweza kucapture ma knowledge
Kwanza inahitaji skills, na si makamera bora.