Tatizo la hizo noah unazoita new model ni zipi?Madam Viviannakuomba umumue Noah hapahapa Tanzania na usichukue hizi New Model km VOXY hutadumu nayo kwa kifupi Bofya hapa Toyota Cars for Sale
zipo Noah za bei ya milioni 8 zipatazo 53 unachotaiwa ni kumpigia mmiliki wa gari namba zipo hapohapo na si Dalali kabisa, PATANA NAYE SISI HATUPO
Chagua zaidi Noah Townace au Noah Liteace zipo mpaka 6m
Nipo sahihi ila kwakua lengo lako uuze sawa ila mama ongeza hela uagize haya ya tandika,manzese na kinondoni hayakufai, CHUKUA HATUAMkuu kwa hapo tu umeshamdanganya Mama wa watu na watanzania,
kwa Calcuation zako tu atalinunua hilo VOXY kwa Milioni 12 na zaidi halafu huo mgari nahisi unavutia mbele badala ya Diffu
kwa hesabu za TRA JAZA FOMU YAO HII /INGIA / BOFYA HAPA Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation System
bado dola imepanda
nakupa copy ya gari yako ya 5.2m huko Japan bado freight clearing nk sasa ongeza za TRA 7.2M = 12.4M bado mengine
mfano ---- You are viewing Valuation Details of a 2009 TOYOTA NOAH AZR60G - WAGON.
Amekwambia anazo shilingi milioni 8 wewe unamwambia anongeze soma heading kwanzaNipo sahihi ila kwakua lengo lako uuze sawa ila mama ongeza hela uagize haya ya tandika,manzese na kinondoni hayakufai, CHUKUA HATUA
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekwambia anazo shilingi milioni 8 wewe unamwambia anongeze soma heading kwanza
Ninunue used au niagize japan
Gari toleo la mwaka 2000 au 2010 liwe lipo Japan au Manzese yote ni mamoja kujua kuagiza kupitia Beforward basi muwaibie na wenzenu
weka link yako hapo na dadavua na TRA km hukuvuka Milioni 10
Hujui lolote nimekuwekea Link ya TRAWatu wangekuwa hawaagizi kutoka Japan kama used ya tandale na Yokohama yanafanan
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo gari yenye ushuru wa 7m ni gari gani? Na aliesema ukiagiza Japan gari ni mpya nani mama usiwe na wasi ushuru wala sio mkubwa kiivyo tena sasa hv shilling inahimarika kwa kasi Leo ni 1usd=2360 wakati last month ilifika 2400+Hujui lolote nimekuwekea Link ya TRA
Motor Vehicle Valuation System
uweke hiyo hesabu yako kwa gari la bure tu ulilopewa huko Japan kuanzia 2000 hadi 2009 ushuru ni 7,000,000/
sasa Mama wa watu ana 8m
wewe unamdanganya kuwa akiagiza Japan sio USED ni jipya
Mwacheni Mama wa watu achague ukweli upo wapi sio kila gari la 1999 -2009 ni jipya hata TRA hawasemi hivyo
Nkubaliana na wewe kama ni kumsaidia huyo Mama anayetaka Noaha ya 8m tumuongoze kunako bei stahili kwa kumsaidia lkn bei ya YA 5.2M bila hata ya CIF na TRA AnadanganyaKama Noah unapata mfano hili linauza 5,200,000 kulinunua Japan+kulibeba hadi dar+ clearing wewe utaongeza gharama za tra tu
Sent using Jamii Forums mobile app
2010 TOYOTA NOAH
DBA-ZRR75G BG172474
DBA-ZRR75G
Current Vehicle Price:$2,020 (TSh 4,737,489) hii ni kwa Japan
CIF$3,631
(Approx. Exchange Price: TSh 8,515,754) hii Dsalaam bado TRA
Hesabu za TRA unapigiwa na nani hapa chini ni mfani tu wa gari hiyo ya Noah mpaka Plate No.Hiyo gari yenye ushuru wa 7m ni gari gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hesabu za TRA unapigiwa na nani hapa chini ni mfani tu wa gari hiyo ya Noah mpaka Plate No.
chin ya 2005 naona inakataa nimeanzia hapo hapo 2005 gharama ya 5,590,000 ni kubwa sana kwa kuliingiza gari hilo hapa Nchini kwa waliochelewa kuyaingiza, wanataka tuingize magari si chini ya miaka 10 tangu yaundwe, eti kupunguza dumping au scraper hata upitishie Bandari ya Mombasa wanakupigia km kawaida ndipo upewe RegSasa mkuu hii hesabu umechukua gari ya 2009 hebu naomba Fanya na ya 2005 kurudi nyuma alafu upost kama ulivyopost
Sent using Jamii Forums mobile app
ni sawa Mkuu, kwa huyu Mama kwa vile /huenda ni mara ya kwanza atafute km 3m aongezee kama hana atafute gari ndogo zaidi naona hajatupa mrejesho tena huyu Madam Vivian OriginalChombo cha kuagiza ambacho wewe ndiyo unaanza kuwa mmiliki wa kwanza kinapokanyaga ardhi ya bongo ni tofauti kabisa na kununua humu nyumbani....nyumbani hatuaminiki yard nyingi wanapunguza mileage..
Jichange uingie beforward kuna magari mengi sana kule ya bei ndogo lakini unakuwa na amani ukilinunua kuliko hapa nyumbani....nyumbani ni pata potea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kweli unahitajo Noah ya kudumu, nunua aidha LiteAce Noah au TownAce Noah. Zinafaa kwa matumizi yako. Hizi new model na hizi barabara zetu si nzuri sana. Naishia hapaHabar wakuu,
Nataka ninunue gari aina ya Toyota Noah, kutokana na familia yangu naona Noah itanifaa SNA kwa matumizi ya nyumbani.
Ila pia nilikua navipenda vile vigali vidogo Toyota Ist ila kutokana na familia yangu kubwa naona haitatosha kubeba watu wengi bora nichukue Noah itapendeza zaid.
Swali langu kwenu wakuu,
Ninunue showroom au niagize nje, bajet yangu ni M8, natamani nipate Noah nzuri yenye muonekano mzuri cjui ndo mnaita new model.
Nisaidien mshauri cjawah miliki gari ndo au gari gani nzuri itanifaa SNA kwa pesa yangu, na iwe ya kubeba watu hata 5 HV kuendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Noah ni gari lenye usumbufu sana barabarani,trafiki anaweza akapotezea gari zingine ndogo lakni sio Noah,Mfano kutoka dar mpaka Dom utasimamishwa mpaka utahisi umetekwa ndani ya nchi yako , vinginevyo ni gari nzuri,nazungumza kwa uzoefu
hili hapa chini ni moja kati ya majibu zaidi ya 10 ya hizi Noah New Model zinazovutia miguu kwa mbele badala ya DifferentalTatizo la hizo noah unazoita new model ni zipi?
Kama kweli unahitajo Noah ya kudumu, nunua aidha LiteAce Noah au TownAce Noah. Zinafaa kwa matumizi yako. Hizi new model na hizi barabara zetu si nzuri sana. Naishia hapa Sent using Jamii Forums mobile app
bora kidooogo utasamehewa[emoji3][emoji3][emoji3]eti kama umetekwa, vp kuhusu Alphard ?
Habari Madam,Habar wakuu,
Nataka ninunue gari aina ya Toyota Noah, kutokana na familia yangu naona Noah itanifaa SNA kwa matumizi ya nyumbani.
Ila pia nilikua navipenda vile vigali vidogo Toyota Ist ila kutokana na familia yangu kubwa naona haitatosha kubeba watu wengi bora nichukue Noah itapendeza zaid.
Swali langu kwenu wakuu,
Ninunue showroom au niagize nje, bajet yangu ni M8, natamani nipate Noah nzuri yenye muonekano mzuri cjui ndo mnaita new model.
Nisaidien mshauri cjawah miliki gari ndo au gari gani nzuri itanifaa SNA kwa pesa yangu, na iwe ya kubeba watu hata 5 HV kuendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app