dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Kwa sasa dunia ni kijiji kwa hiyo mteja ana options nyingi.
Unapomtajia bei mteja hakikisha unampa bei ambayo ni reasonable sababu mpaka anakuja kwako may be kaulizia sehemu zingine hata 5 for the same product.
Sasa wewe endelea kuropoka mabei makubwa makubwa wakati wengine wanauza bei ndogo na wanauza bidhaa nyingi.
Usije sema hukushauriwa.
Siku njema kwenu.
Unapomtajia bei mteja hakikisha unampa bei ambayo ni reasonable sababu mpaka anakuja kwako may be kaulizia sehemu zingine hata 5 for the same product.
Sasa wewe endelea kuropoka mabei makubwa makubwa wakati wengine wanauza bei ndogo na wanauza bidhaa nyingi.
Usije sema hukushauriwa.
Siku njema kwenu.