KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
basi shikamoo..!🤣Wewe ndiye umetafsiri ni kuwafanyia vurugu! Lakini sio hivyo
2009 nilikua hospital najifungua binti yangu wa pili
yote kwa yote ikiwa tu haunywi halafu ukaja kutoa mchango kwenye mada ya wanaokunywa basi hizo ndio vurugu zenyewe! tuondoke taratibu tu kwenye uzi wa watu kabla hatujazibaka CV zetu tukaonekana vijana wa hovyo!! kama utabaki likikukuta jambo tusitafutane ati "nilikuwa na kenzy"😂