Niokoeni jamani nimeanza kumpenda Mzigua90

Awatoe wap mtu bahili hvyooo...mpare huyo ata ukimwambia tuma nauli anasema njoo ntakupa hukuhuku kwa mtindo huo lazima akeshe kuwatafuta saizi yake
Duuuh mpale wa watu kumbe mnamfanyia hivyo

Si aombe masaada kwa mshana Jr amsaidie dawa ya kuwavuta wenye chura na ya kuwafanya wampende wamfuate alipo

Kwani ukiwa unampenda huwezi kutumia garama zako kumfuata?
 
Awatoe wap mtu bahili hvyooo...mpare huyo ata ukimwambia tuma nauli anasema njoo ntakupa hukuhuku kwa mtindo huo lazima akeshe kuwatafuta saizi yake
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Dah.....hata Siku moja usilielie hadharani kusema umempenda mwanamke...ni kosa kubwa sana....Utajutaaa[emoji41] [emoji41] [emoji13]
 
Basi utakua umemsaidia sana mwanaume mwenzio fanya hvyoo
Ila anasema wewe ni ubavu wake au anadanganya[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Yan wamekuona unagawa gawa san so kila mtu anataka kujaribu
Duuhh labda tuko tofauti mm siwezi enda sehemu yenye msitu kwanza naona kinyaaa kiukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…