Niokoeni jamani nimeanza kumpenda Mzigua90

Niokoeni jamani nimeanza kumpenda Mzigua90

Haya mambo ya thread thread sio ishu, nenda pm mwambie "bibie nna kisalio hapa nataka nikutumie upate lunch , sijui niitume vipi mama" Mzigua90 nae ana moyo lazma moyo utalegea atakupa namba ukifanya muamala itapendeza, hadi hapo mpira upo ndani ya box. Mnakompliketisha mambo
Sasa hii thread itaishia kukupa likes tu
Mpendwa unauhakika hii njia itatick nikutangulizie Advance payment kabisa
 
Kama ana kibamia kweli atanikosa. Kama mashine ipo namkaribisha. Na kwa vile wewe babu upo hakuna litakaloharibika kwenye mahari
Mahari ikiwa poa... utanisamehe... ntaichukua. Asipokuridhisha usijali babu yako nipo nitajua cha kufanya kumaliza kiu yako.

Nshakuwekea link hebu kachangamkie hiyo deal
 
Mkuu huku JF michango ya Dada zetu haifanani na Muonekano wao wa halisi... Unaweza ona anaongea busara kishenzi comment za Ukweli ila ukikutana naye ni shida, Kuna wengine wanacomment kiume ume lia ukionana nao wapo Fresh kikubwa JF ni Changanyikeni ,, Walio wengi hakika hawafanani na Michango yao.... au Avatar zao kwa hiyo kuwa Makini Mkuu usije kuja kuanza kulia lia hapa.
Nakubaliana na wewe. Wengi michango yetu haifanani na sisi. Ila mimi 80% ya michango yangu ni mimi sababu mi mgumu sana kuigiza maisha. Ninachoandika humu kidogo sana simaanishi.
 
Umependa kwa hisia pole ukimuona na ikawa tofauti na hisia zako fanya utaratibu wa kum-pm kwa kutuma picha yako akijiridhisha kuwa mnafanana atakurukia hewani usiutese moyo wako kwa jambo linalo wezekana mkuu
The only fuata huu ushauri basi.
 
Kuuza kiwanja si hoja. Mie naogopa tu kale katabia kenu "WANYALU" ka kukimbilia kamba na kujining'iniza.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom