Yani ndo naona sasa hiv na simu ina 3%. Mungu kaniletea mume kupitia JF
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]We kijana nakuonya tu hiyo ni machine yangu ya kusagaaa
Acha wogaKuwa na kifua basi haya ni mambo ya kiume huoni sijamquote unanidhalilisha bhana mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu najua umeogopa kumwita ila Mimi nimeona ili roho yako itulie nimwite maana mhusika akina utapata majibu yanayo jitosheleza [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Mungu mkubwa huwezi jua ni wapi kakuandalia makao ya moyo wakoYani ndo naona sasa hiv na simu ina 3%. Mungu kaniletea mume kupitia JF
Kama ana kibamia kweli atanikosa. Kama mashine ipo namkaribisha. Na kwa vile wewe babu upo hakuna litakaloharibika kwenye mahariKama una kibamia nakushauri uifute hiyo ndoto haraka sana. Mtoto anakuambia mwanaume Mashine.... nadhani utakuwa umenielewa
Mzigua90 njoo huku nakutafutia soko la mashine
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Acha woga
Naona anaogoapa kuja maana maelezo yake ni ya kiuoga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahaaaYakobo : Mlango 1
14 Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utakuja upende majini
Hutaki shemeji kwani?Usimsingizie mtoto wa watu, zilaumu tamaa zako Na uchu wako wa papuchi ya mbondei
Mpendwa unauhakika hii njia itatick nikutangulizie Advance payment kabisaHaya mambo ya thread thread sio ishu, nenda pm mwambie "bibie nna kisalio hapa nataka nikutumie upate lunch , sijui niitume vipi mama" Mzigua90 nae ana moyo lazma moyo utalegea atakupa namba ukifanya muamala itapendeza, hadi hapo mpira upo ndani ya box. Mnakompliketisha mambo
Sasa hii thread itaishia kukupa likes tu
Mahari ikiwa poa... utanisamehe... ntaichukua. Asipokuridhisha usijali babu yako nipo nitajua cha kufanya kumaliza kiu yako.Kama ana kibamia kweli atanikosa. Kama mashine ipo namkaribisha. Na kwa vile wewe babu upo hakuna litakaloharibika kwenye mahari
Nakubaliana na wewe. Wengi michango yetu haifanani na sisi. Ila mimi 80% ya michango yangu ni mimi sababu mi mgumu sana kuigiza maisha. Ninachoandika humu kidogo sana simaanishi.Mkuu huku JF michango ya Dada zetu haifanani na Muonekano wao wa halisi... Unaweza ona anaongea busara kishenzi comment za Ukweli ila ukikutana naye ni shida, Kuna wengine wanacomment kiume ume lia ukionana nao wapo Fresh kikubwa JF ni Changanyikeni ,, Walio wengi hakika hawafanani na Michango yao.... au Avatar zao kwa hiyo kuwa Makini Mkuu usije kuja kuanza kulia lia hapa.
Teh teh..C novim godam bratanWatu wa Tanga usiwaamini sana, utarushiwa jini sijui utakuwa mgeni wa nani[emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuuza kiwanja si hoja. Mie naogopa tu kale katabia kenu "WANYALU" ka kukimbilia kamba na kujining'iniza.
HahahahahaaHuyu atakuwa na kidagaa sio kibamia