Niokoleeni watoto wangu tafadhali wanaJF

Kamwone profesa Massawe ni bingwa wa ngozi yupo posta, mm nlikuwa na matatizo ya ngozi ndan ya miaka nilionana mabingwa wa ngoz walishindwa kuniponesha, niliponea kwa huyu babu Masawe yuko vizuri kiukweli
 
Tumia locoid cream(Group 2 steroid)kumpaka sehem ya mwili na hydrocortisone cream(Group 1 steroid) kupaka usoni.Hizi cream zinapakwa in thin layer mara mbili kwa siku(asubuhi na jioni)kwa muda wa wiki tatu.ukishampaka dawa hio baada ya dakika 10-20 mpake layer ya fatt cream isokuwa na perfumes/parabens kama locobase/apobase cream.Wanunulie watoto gloves ili wasijikune hasa wakati wa kulala.Usiwaogeshe na kuwafulia nguo na sabuni zenye perfumes au zilizo kali.Wakioga wape oil bath yaani weka mafuta kwenye beseni la maji.Hivyo vyote vinasaidia ngozi isikauke.
 
katika mambo yahusuyo mateso ya malaika hao we unaleta mambo za kuchekacheka , shame on you

Kacheka kwa sababu si kila kitu kuombewa kwani mleta mada kanisa hakuliona? Mimi nilitegemea wewe ungetoa ushauri mzuri wa tiba ya mtoto na si vinginevyo,l
 
Pole sana...tatizo la hao watoto liko kwenye damu (systemic) ngozi ina manfest tu. Ni vizuri akapata dawa za mishipa. Nashauri wapate broad spectrum antibiotics kama ceftriaxone na antifungal kama fluconazole. Topical aplication haina effect sana kwa sababu tatizo ni generalized.
 
Unakumbuka ni lini ulianza kuwapa vyakula vingine zaidi ya kunyonya? Kama ni around that time inaweza ikawa ni allergic reaction kutoka kwenye chakula wanachokula esp milk namaanisha maziwa ya ng'ombe na formula milk. Vyakula unavyokula wewe pia vinaweza kuwaletea allergic reaction as bado wananyonya.

Acha kabisa kuwapa maziwa kwa sasa wape protini ya mimea soy ni nzuri na wakipata nafuu unaweza ukajaribu maziwa ya mbuzi yanaweza yasiwape shida. Vingine vya kuacha ni karanga, samaki,mayai hata kama ni wewe unakula kwa sababu wananyonya bado.

Na wavae cotton tu

Usipoona mabadiliko ndani ya wiki tafuta daktari wa ngozi.
 
pole sana.usichoke ndio malezi ya wtto jitahidi kwenda hospital nyingine hata kariakoo kwa dr koya huwa anasaidia sana.na jingine kapime mama maziwa yke yapo vuzuri
 
Mwanangu alipokuwa na miezi minne pia alitokwa na vipele kama hivyo,tukahangaika sana kama wewe hatimaye tukampeleka kwa koya pale kariakoo akapewa dawa na kupona kabisa.
 
Hakika nifurahi saaana jinsi mnavyo corporate kutoa ushauri kwenye suala la msingi kama hili ingawa kuna wachache bao wanaleta utani.......BIG UP GUYS....
 
Hakika nifurahi saaana jinsi mnavyo corporate kutoa ushauri kwenye suala la msingi kama hili ingawa kuna wachache bao wanaleta utani.......BIG UP GUYS....

Sasa mtihani unakuja namna ya kuamua uchukue uamzi upi
 
yule aliyemwambia aende kanisani kwa maombi hukuona km anatania?

Teh teh teh
ww hujui kule kuna bigwa wa magonjwa yote ambayo utazunguka kote hutapata dawa ya kupona ila kumkili tu bwana kuwa ni mwokozi wa magonjwa yote uliyonayo nawe unapona ,basi kama huamini pole sana imani yako ni haba
 
ww hujui kule kuna bigwa wa magonjwa yote ambayo utazunguka kote hutapata dawa ya kupona ila kumkili tu bwana kuwa ni mwokozi wa magonjwa yote uliyonayo nawe unapona ,basi kama huamini pole sana imani yako ni haba

Acheni kudanganya watu.
Nyie ndio husababisha watu kuathirika zaidi kwa kiwapeleka Makanisani Badala ya Hospitali.

Km Makanisa yanatibu kwanini Kadinali Pengo alilazwa Hospitali?
Hivi lini Mtaacha Kuwaongopea watu na kuuacha huo Usanii wenu?

Gwajima anadanganya watu kuwa yeye anatembea Na Yesu wakati amekamatwa anatembea na Bastola na Akatamka mwenyewe kuwa mara zote anatembea na Silaha Kwa ajili ya Kujilinda.

Uongo pia Ni fani lkn Nyie fani hio Bado sana.
 

Duuuh, boss.......
 
mabwiku tuambie mkoa uliopo, Jf ina wataalam kila mahali, au unaweza kuwa linked na wataalam ktk eneo lako
 
Last edited by a moderator:
Jamani kuna dawa Fulani hivi ukimpaka mtoto anabaki mayo IPO km chokaa nimesahau jina lake.. Mwanangu wa ujanani nilimpaka hii akapona ni ya maji so zaidi ya 2000 ngoja babake akija nitamuuliza

Pole kwa mapacha
 
Jamani kuna dawa Fulani hivi ukimpaka mtoto anabaki mayo IPO km chokaa nimesahau jina lake.. Mwanangu wa ujanani nilimpaka hii akapona ni ya maji so zaidi ya 2000 ngoja babake akija nitamuuliza

Pole kwa mapacha
asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…