kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
malaika kama hao wasio na dhambi kwanini wanateseka? upo pahala gani labda naweza kukupa msaada ndugu.mimi nipo mombasa next week nakuja tz
katika mambo yahusuyo mateso ya malaika hao we unaleta mambo za kuchekacheka , shame on you
Yule aliyemwambia aende kanisani kwa maombi hukuona km anatania?
Teh teh teh