Habari ndugu zangu,
Kama mada inavyoeleza apo juu,n ikwamba mwenyezi Mungu kanijalia kupata watoto mapacha wawili wa kiume na wa kike.Mpaka sasa wana miezi minne maana walizaliawa na miezi 7 tu,so mpaka sasa wanakaribia kufikisha miezi 5.
Tatizo lililonileta hapa kwenu ni hili. Walivokuwa na miez 2 tuliwanyoa nywele zao kwa mara ya kwanza, mtoto wa kike akaanza kutokewa vipele kichwani tukajua labda ni vipele vya kunyoa make tulinunua nyembe mpya kwa kazi hiyo.Lakini vipele hivyo vikaanza kusambaa mwili mzima na kutoa maji na vingine kama vinatunga usaa lakini vinapasuka vyenyewe.
Tukaenda hospitali tukaambiwa tununue gentosin tube,tulipompaka tu baada ya siku mbili akabadilika ngozi na kuwa mweupe wakati yeye ni maji ya kunde hivi, sasa ikabidi tuache hiyo dawa tukaanza kutumia za majani ya kienyeji.
Tumejaribu kila njia lakini hatujafanikiwa,sasa kwa sasa vimesaambaa kila mahali na ikifika muda akitaka kunyonya anajikuna mpaka anajichubua ngozi yake,nadhani vinamuwasha sana.
Nimekuja kwenu kupata msaada jamani,na kwa bahati mbaya hata huyu pacha wake nae naona vinamtokea vimeanzia mikononi na shingoni.
Kama mada inavyoeleza apo juu,n ikwamba mwenyezi Mungu kanijalia kupata watoto mapacha wawili wa kiume na wa kike.Mpaka sasa wana miezi minne maana walizaliawa na miezi 7 tu,so mpaka sasa wanakaribia kufikisha miezi 5.
Tatizo lililonileta hapa kwenu ni hili. Walivokuwa na miez 2 tuliwanyoa nywele zao kwa mara ya kwanza, mtoto wa kike akaanza kutokewa vipele kichwani tukajua labda ni vipele vya kunyoa make tulinunua nyembe mpya kwa kazi hiyo.Lakini vipele hivyo vikaanza kusambaa mwili mzima na kutoa maji na vingine kama vinatunga usaa lakini vinapasuka vyenyewe.
Tukaenda hospitali tukaambiwa tununue gentosin tube,tulipompaka tu baada ya siku mbili akabadilika ngozi na kuwa mweupe wakati yeye ni maji ya kunde hivi, sasa ikabidi tuache hiyo dawa tukaanza kutumia za majani ya kienyeji.
Tumejaribu kila njia lakini hatujafanikiwa,sasa kwa sasa vimesaambaa kila mahali na ikifika muda akitaka kunyonya anajikuna mpaka anajichubua ngozi yake,nadhani vinamuwasha sana.
Nimekuja kwenu kupata msaada jamani,na kwa bahati mbaya hata huyu pacha wake nae naona vinamtokea vimeanzia mikononi na shingoni.