Niombeeni ndugu zangu, nina ugonjwa wa ajabu

Dah Bill [emoji119][emoji23]
 
Dingo ako bado mshamba wa kinyakyusa tofauti na wahaya
Inakuaje akuite lugano umeshindwa hata kubadirisha kama mwenzio DON NALIMSON
 
Kama umewahi fanya kazi malipo yako yalikuwa tsh ngapi. Ili nione kama nawe utakuwa mmoja ya wale ambao nawasaidia wameathirika kisaikolojia kwa kupokea mshahara chini ya Mil 10 kwa mwezi.

Mkuu kama ni hvo basi watanzania 98% wameathirika kisaikolojia.
 
Kidukulilo ni miyeyusho sana....

Utajisahau kuishi,,, uongo utazidisha halafu utajikuta upo nje ya ukweli
 

You wish! [emoji23][emoji706]
 
Naonba laki mbili ndugu nifanye biashara ntakurudishia
 
Naonba laki mbili ndugu nifanye biashara ntakurudishia
200,000? unafanya biashara gani? uwe unakuwa serious basi. umeshakula?umekula nini? maana pia kuna milo ambayo ukila unakuta hata uwezo wako wa kufikiri unayumba. 200,000? biashara?????????????? jamani mbona mnakuwa na masikhara hivyo? au ulitaka andika 200,000,000?
 
Bill mimi sitaki hela zako, nipe kazi / channel ya kazi / kupata kipato, joke [emoji23]

“You give a poor man a fish and you feed him for a day. You teach him to fish and you give him an occupation that will feed him for a lifetime.”
 
Nipo siriwzi kaka nataka nichukue nguo za mitumba niuze
 
Mkuu, ungemalizia kuwa ulikuwa NDOTONI.
 
Nilijua tu kitambo!! Uongozi wa Jiwe hauwezi kuwaacha salama!.....sasa hapo ni miaka mitano tu!! angeongeza mingine mitano je!!......COVID imeokoa vijana wengi! kwa kutuondolea Jiwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…