Niombeeni ndugu zangu, nina ugonjwa wa ajabu

Nimesoma paragraph 2 tu,nashindwa kuendelea[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu mmebarikiwa vipaji vya kabobo[emoji849][emoji849] hongera mkuu
 
Namba 6 imenitoa mchezoni mambo ya kusoma tena. Pesa za matajiri ngumu
 
Bill Lugano unapata wapi muda wa kuandika hadithi ndefu hivi mkuu!!?
 
Daah nimecheka eti kipele ukaamua kushuka kwenye ndege na umeenda moja kwa moja Johannesburg hospital...
 
Jf bwana, unaweza kukuta jamaa anashindia na kulalia nafaka ya ugali wa dona (ngamunya) kila siku kwa maharage ya kununua kwa mkamshi (supu) yanayopatikana kwz 200 kwa mkamshi (upawa).
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…