Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Kiduku lilo karudi [emoji3][emoji3]
Sema leo kasahau kututajia magari [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo huyo kiduku lilo , alibadili ID nameHuyu siyo Kidukulilo Kweli😂!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiduku lilo karudi [emoji3][emoji3]
Sema leo kasahau kututajia magari [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo huyo kiduku lilo , alibadili ID nameHuyu siyo Kidukulilo Kweli😂!
😅Inawezekana.Ndo huyo kiduku lilo , alibadili ID name
Wapo hata hapa bongo.Niliangalia documentary, kuna Mnigeria yuko kwenye oil business. Akitaka kwenda Marekani anatumia private jet. Ameahidi vijana wa Nigeria, yeyote atakae pata admission Havard atamlipia ada mpaka anamaliza shule.
Nipo South Africa siku ya tatu hii. Nlikuwa narudi toka China. Nikiwa kwenye ndege First Class nikaenda wash room ndo nikagundua nimetokwa na kipele(pimple) kwenye mkono.
Niliomba nishushwe South Africa wakanifanyie check up na surgery ikiwezekana. Maana naona kama kinaharibu mwonekano wangu.
Ni kikubwa. Kama punje ya ulezi hivi. Actually hakina maumivu wala muwasho. Dr. Has told me (huyu specialist wa magonjwa ya ngozi hapa South Africa) kuwa ni allergy tu.
Nikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.
Inawezekana moja ya wale samaki ndiye alinisababishia allergy. Sasa nilimjulisha Mzee. Alinikasirikia sana kuwa naendaje China bila Dr. Wangu. Actually nimekuwa nikijaribu kuishi maisha kama ya watu wengine ila mzee hataki kabisa.
Anataka nikiwa naenda sehemu niende na Dr. Mwanasheria,Secretary,Mpishi na Mhudumu binafsi.
Sometimes naona hii ni kama kujiweka hadharani kuwa nina vijicent jambo ambalo si sawa. Napenda kuishi tu maisha simple. Na amelalamika kuwa why nimeenda kutibiwa South Afrika wakati Madkatari wa familia yetu wapo USA?
Tatizo la Mzee hawaamini kabisa watu wa Africa. Toka siku ambayo aliensa Barber shop moja akawaambia wamnyoe nywele style flani wakakosea kidogo basi hana imani kabisa na professionals wa Afrika.
Sasa huu mgogoro umeanzia last week aliponiuliza Dereva wangu yupo wapi maana aliniona naendesha gari peke yangu kwenda Bagamoyo.nikamwambia anaumwa mafua amelazwa Aga Ghan wanamwangalia kwa ukaribu. Akaniuliza ya wapi nikamwambia ya hapa hapa Dar.
Alifoka sana kuwa inakuaje Dereva anaumwa analazwa Aga Khan Zahanati. Nikamwambia ni Hosp akawa mbogo na kuuliza namlipa tsh ngapi. Kwa kweli Dereva wangu nikiri kuwa namlipa tsh 15,000,000 kwa mwezi. Ila namsomeshea watoto wa ndugu zake wote shule ya International School ya Feza.
Na watoto wake wa 4 namsomeshea IST. Namlipia kodi ya nyumba hapa Oysterbay na kila mwisho wa mwezi namfanyia shopping. Mzee analaumu kuwa nimeanza kuwa mbahili. Kwanza namtibu Dereva Zahanati, pili namlipa kamshahara kadogo so anaweza akawa ananiendesha huku ana mawazo.
Sasa kumwambia natibiwa South Afrika yeye anaamini ni sababu nabana matumizi..kumbe siyo. Napenda niishi maisha simple tu kama watanzania wengine maskini. South Africa si mbaya kwa huduma ya Afya.
Sasa hili la hii chunusi limemtibua kabisa. Anataka nichague kuishi katika nyumba zetu za China,Canada,Sweden,Belgium,USA,Uk,Russia,Germany,Switzerland,Norway,Egypt au South Africa.
Namkatalia sababu hayo majumba ni makubwa sana mtu unaishi kwenye nyumba ambayo Rais wa hizo nchi husika akiwa na mawazo au amechoka anakuja kuomba kwetu akapumzike sehemu za nyumba zetu hizo. Wengi wanadai ni nyumba zaidi ya Ikulu za marais wa nchi hizo.
Maisha hayo ya upweke na kujikuta nimezungukwa tu na wafanyakazi mabint warembo bikra ambao wapo tayari kunipa huduma yoyote nitakayo. Maisha hayo yananishinda. Naona bora nije kujifunza maisha magumu na ya maskini wanaokaa huku Oysterbay.
Mniombee ndugu zangu mzee anielewe. Afahamu hata huku Afrika kuna maisha. Siyo walimvyokosea yeye huko kwa kinyozi basi ndo maisha yote wapo hivyo. Pia mniombee haka kakipele kapone maana naona kananipa mwonekano mbaya. Actually nikivaa shati la mikono mirefu hakaonekani but sijisikii tu comfortable kuwa na pimple.
Huu ni mzimu wa Kidukurilo?Nipo South Africa siku ya tatu hii. Nlikuwa narudi toka China. Nikiwa kwenye ndege First Class nikaenda wash room ndo nikagundua nimetokwa na kipele(pimple) kwenye mkono.
Niliomba nishushwe South Africa wakanifanyie check up na surgery ikiwezekana. Maana naona kama kinaharibu mwonekano wangu.
Ni kikubwa. Kama punje ya ulezi hivi. Actually hakina maumivu wala muwasho. Dr. Has told me (huyu specialist wa magonjwa ya ngozi hapa South Africa) kuwa ni allergy tu.
Nikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.
Inawezekana moja ya wale samaki ndiye alinisababishia allergy. Sasa nilimjulisha Mzee. Alinikasirikia sana kuwa naendaje China bila Dr. Wangu. Actually nimekuwa nikijaribu kuishi maisha kama ya watu wengine ila mzee hataki kabisa.
Anataka nikiwa naenda sehemu niende na Dr. Mwanasheria,Secretary,Mpishi na Mhudumu binafsi.
Sometimes naona hii ni kama kujiweka hadharani kuwa nina vijicent jambo ambalo si sawa. Napenda kuishi tu maisha simple. Na amelalamika kuwa why nimeenda kutibiwa South Afrika wakati Madkatari wa familia yetu wapo USA?
Tatizo la Mzee hawaamini kabisa watu wa Africa. Toka siku ambayo aliensa Barber shop moja akawaambia wamnyoe nywele style flani wakakosea kidogo basi hana imani kabisa na professionals wa Afrika.
Sasa huu mgogoro umeanzia last week aliponiuliza Dereva wangu yupo wapi maana aliniona naendesha gari peke yangu kwenda Bagamoyo.nikamwambia anaumwa mafua amelazwa Aga Ghan wanamwangalia kwa ukaribu. Akaniuliza ya wapi nikamwambia ya hapa hapa Dar.
Alifoka sana kuwa inakuaje Dereva anaumwa analazwa Aga Khan Zahanati. Nikamwambia ni Hosp akawa mbogo na kuuliza namlipa tsh ngapi. Kwa kweli Dereva wangu nikiri kuwa namlipa tsh 15,000,000 kwa mwezi. Ila namsomeshea watoto wa ndugu zake wote shule ya International School ya Feza.
Na watoto wake wa 4 namsomeshea IST. Namlipia kodi ya nyumba hapa Oysterbay na kila mwisho wa mwezi namfanyia shopping. Mzee analaumu kuwa nimeanza kuwa mbahili. Kwanza namtibu Dereva Zahanati, pili namlipa kamshahara kadogo so anaweza akawa ananiendesha huku ana mawazo.
Sasa kumwambia natibiwa South Afrika yeye anaamini ni sababu nabana matumizi..kumbe siyo. Napenda niishi maisha simple tu kama watanzania wengine maskini. South Africa si mbaya kwa huduma ya Afya.
Sasa hili la hii chunusi limemtibua kabisa. Anataka nichague kuishi katika nyumba zetu za China,Canada,Sweden,Belgium,USA,Uk,Russia,Germany,Switzerland,Norway,Egypt au South Africa.
Namkatalia sababu hayo majumba ni makubwa sana mtu unaishi kwenye nyumba ambayo Rais wa hizo nchi husika akiwa na mawazo au amechoka anakuja kuomba kwetu akapumzike sehemu za nyumba zetu hizo. Wengi wanadai ni nyumba zaidi ya Ikulu za marais wa nchi hizo.
Maisha hayo ya upweke na kujikuta nimezungukwa tu na wafanyakazi mabint warembo bikra ambao wapo tayari kunipa huduma yoyote nitakayo. Maisha hayo yananishinda. Naona bora nije kujifunza maisha magumu na ya maskini wanaokaa huku Oysterbay.
Mniombee ndugu zangu mzee anielewe. Afahamu hata huku Afrika kuna maisha. Siyo walimvyokosea yeye huko kwa kinyozi basi ndo maisha yote wapo hivyo. Pia mniombee haka kakipele kapone maana naona kananipa mwonekano mbaya. Actually nikivaa shati la mikono mirefu hakaonekani but sijisikii tu comfortable kuwa na pimple.
Haaaaa Haaaaa 😂 milion 15 kwa mweziDereva unamlipa 150,000 au 15,000,000 au me ndo sijaelewa vizuri?
Don't take everything serious in here.Hii nchi inachezewa sana. Hata kama ni mama kufungua nchi, siyo kwa kiwango hili. Mods nao hawaoni huu ujinga?
Mil 15,000,000 Mkuu, huyu jamaa hawezi kumlipa dereva wake 150,000. Hio ni hela ya Big G tu,Uliza housegirl wake analipwa kiasi gani ndo utajua[emoji28]Dereva unamlipa 150,000 au 15,000,000 au me ndo sijaelewa vizuri?
Mkuu shida nini?Acha tupate simulizi za mwenye pesa zake[emoji3]Hii nchi inachezewa sana. Hata kama ni mama kufungua nchi, siyo kwa kiwango hili. Mods nao hawaoni huu ujinga?
Mzee siku akidanja urudi uhadithieNipo South Africa siku ya tatu hii. Nlikuwa narudi toka China. Nikiwa kwenye ndege First Class nikaenda wash room ndo nikagundua nimetokwa na kipele(pimple) kwenye mkono.
Niliomba nishushwe South Africa wakanifanyie check up na surgery ikiwezekana. Maana naona kama kinaharibu mwonekano wangu.
Ni kikubwa. Kama punje ya ulezi hivi. Actually hakina maumivu wala muwasho. Dr. Has told me (huyu specialist wa magonjwa ya ngozi hapa South Africa) kuwa ni allergy tu.
Nikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.
Inawezekana moja ya wale samaki ndiye alinisababishia allergy. Sasa nilimjulisha Mzee. Alinikasirikia sana kuwa naendaje China bila Dr. Wangu. Actually nimekuwa nikijaribu kuishi maisha kama ya watu wengine ila mzee hataki kabisa.
Anataka nikiwa naenda sehemu niende na Dr. Mwanasheria,Secretary,Mpishi na Mhudumu binafsi.
Sometimes naona hii ni kama kujiweka hadharani kuwa nina vijicent jambo ambalo si sawa. Napenda kuishi tu maisha simple. Na amelalamika kuwa why nimeenda kutibiwa South Afrika wakati Madkatari wa familia yetu wapo USA?
Tatizo la Mzee hawaamini kabisa watu wa Africa. Toka siku ambayo aliensa Barber shop moja akawaambia wamnyoe nywele style flani wakakosea kidogo basi hana imani kabisa na professionals wa Afrika.
Sasa huu mgogoro umeanzia last week aliponiuliza Dereva wangu yupo wapi maana aliniona naendesha gari peke yangu kwenda Bagamoyo.nikamwambia anaumwa mafua amelazwa Aga Ghan wanamwangalia kwa ukaribu. Akaniuliza ya wapi nikamwambia ya hapa hapa Dar.
Alifoka sana kuwa inakuaje Dereva anaumwa analazwa Aga Khan Zahanati. Nikamwambia ni Hosp akawa mbogo na kuuliza namlipa tsh ngapi. Kwa kweli Dereva wangu nikiri kuwa namlipa tsh 15,000,000 kwa mwezi. Ila namsomeshea watoto wa ndugu zake wote shule ya International School ya Feza.
Na watoto wake wa 4 namsomeshea IST. Namlipia kodi ya nyumba hapa Oysterbay na kila mwisho wa mwezi namfanyia shopping. Mzee analaumu kuwa nimeanza kuwa mbahili. Kwanza namtibu Dereva Zahanati, pili namlipa kamshahara kadogo so anaweza akawa ananiendesha huku ana mawazo.
Sasa kumwambia natibiwa South Afrika yeye anaamini ni sababu nabana matumizi..kumbe siyo. Napenda niishi maisha simple tu kama watanzania wengine maskini. South Africa si mbaya kwa huduma ya Afya.
Sasa hili la hii chunusi limemtibua kabisa. Anataka nichague kuishi katika nyumba zetu za China,Canada,Sweden,Belgium,USA,Uk,Russia,Germany,Switzerland,Norway,Egypt au South Africa.
Namkatalia sababu hayo majumba ni makubwa sana mtu unaishi kwenye nyumba ambayo Rais wa hizo nchi husika akiwa na mawazo au amechoka anakuja kuomba kwetu akapumzike sehemu za nyumba zetu hizo. Wengi wanadai ni nyumba zaidi ya Ikulu za marais wa nchi hizo.
Maisha hayo ya upweke na kujikuta nimezungukwa tu na wafanyakazi mabint warembo bikra ambao wapo tayari kunipa huduma yoyote nitakayo. Maisha hayo yananishinda. Naona bora nije kujifunza maisha magumu na ya maskini wanaokaa huku Oysterbay.
Mniombee ndugu zangu mzee anielewe. Afahamu hata huku Afrika kuna maisha. Siyo walimvyokosea yeye huko kwa kinyozi basi ndo maisha yote wapo hivyo. Pia mniombee haka kakipele kapone maana naona kananipa mwonekano mbaya. Actually nikivaa shati la mikono mirefu hakaonekani but sijisikii tu comfortable kuwa na pimple.
Nipo South Africa siku ya tatu hii. Nlikuwa narudi toka China. Nikiwa kwenye ndege First Class nikaenda wash room ndo nikagundua nimetokwa na kipele(pimple) kwenye mkono.
Niliomba nishushwe South Africa wakanifanyie check up na surgery ikiwezekana. Maana naona kama kinaharibu mwonekano wangu.
Ni kikubwa. Kama punje ya ulezi hivi. Actually hakina maumivu wala muwasho. Dr. Has told me (huyu specialist wa magonjwa ya ngozi hapa South Africa) kuwa ni allergy tu.
Nikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.
Inawezekana moja ya wale samaki ndiye alinisababishia allergy. Sasa nilimjulisha Mzee. Alinikasirikia sana kuwa naendaje China bila Dr. Wangu. Actually nimekuwa nikijaribu kuishi maisha kama ya watu wengine ila mzee hataki kabisa.
Anataka nikiwa naenda sehemu niende na Dr. Mwanasheria,Secretary,Mpishi na Mhudumu binafsi.
Sometimes naona hii ni kama kujiweka hadharani kuwa nina vijicent jambo ambalo si sawa. Napenda kuishi tu maisha simple. Na amelalamika kuwa why nimeenda kutibiwa South Afrika wakati Madkatari wa familia yetu wapo USA?
Tatizo la Mzee hawaamini kabisa watu wa Africa. Toka siku ambayo aliensa Barber shop moja akawaambia wamnyoe nywele style flani wakakosea kidogo basi hana imani kabisa na professionals wa Afrika.
Sasa huu mgogoro umeanzia last week aliponiuliza Dereva wangu yupo wapi maana aliniona naendesha gari peke yangu kwenda Bagamoyo.nikamwambia anaumwa mafua amelazwa Aga Ghan wanamwangalia kwa ukaribu. Akaniuliza ya wapi nikamwambia ya hapa hapa Dar.
Alifoka sana kuwa inakuaje Dereva anaumwa analazwa Aga Khan Zahanati. Nikamwambia ni Hosp akawa mbogo na kuuliza namlipa tsh ngapi. Kwa kweli Dereva wangu nikiri kuwa namlipa tsh 15,000,000 kwa mwezi. Ila namsomeshea watoto wa ndugu zake wote shule ya International School ya Feza.
Na watoto wake wa 4 namsomeshea IST. Namlipia kodi ya nyumba hapa Oysterbay na kila mwisho wa mwezi namfanyia shopping. Mzee analaumu kuwa nimeanza kuwa mbahili. Kwanza namtibu Dereva Zahanati, pili namlipa kamshahara kadogo so anaweza akawa ananiendesha huku ana mawazo.
Sasa kumwambia natibiwa South Afrika yeye anaamini ni sababu nabana matumizi..kumbe siyo. Napenda niishi maisha simple tu kama watanzania wengine maskini. South Africa si mbaya kwa huduma ya Afya.
Sasa hili la hii chunusi limemtibua kabisa. Anataka nichague kuishi katika nyumba zetu za China,Canada,Sweden,Belgium,USA,Uk,Russia,Germany,Switzerland,Norway,Egypt au South Africa.
Namkatalia sababu hayo majumba ni makubwa sana mtu unaishi kwenye nyumba ambayo Rais wa hizo nchi husika akiwa na mawazo au amechoka anakuja kuomba kwetu akapumzike sehemu za nyumba zetu hizo. Wengi wanadai ni nyumba zaidi ya Ikulu za marais wa nchi hizo.
Maisha hayo ya upweke na kujikuta nimezungukwa tu na wafanyakazi mabint warembo bikra ambao wapo tayari kunipa huduma yoyote nitakayo. Maisha hayo yananishinda. Naona bora nije kujifunza maisha magumu na ya maskini wanaokaa huku Oysterbay.
Mniombee ndugu zangu mzee anielewe. Afahamu hata huku Afrika kuna maisha. Siyo walimvyokosea yeye huko kwa kinyozi basi ndo maisha yote wapo hivyo. Pia mniombee haka kakipele kapone maana naona kananipa mwonekano mbaya. Actually nikivaa shati la mikono mirefu hakaonekani but sijisikii tu comfortable kuwa na pimple.
Hii sentensi imenifanya nirudi juu kuangalia ni nani kapandisha huu uzi, kumbe mawazo yangu ni kweli kua mzee mmoja mganga huko sumbawanga Bill Lugano kamaliza kugegeda wateja wake akaja kusumbua watu JFNikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.
Is Lugano from Mbeya or Bukoba? Maana si kwa swagga hizi watu nyie...Nipo South Africa siku ya tatu hii. Nlikuwa narudi toka China. Nikiwa kwenye ndege First Class nikaenda wash room ndo nikagundua nimetokwa na kipele(pimple) kwenye mkono.
Niliomba nishushwe South Africa wakanifanyie check up na surgery ikiwezekana. Maana naona kama kinaharibu mwonekano wangu.
Ni kikubwa. Kama punje ya ulezi hivi. Actually hakina maumivu wala muwasho. Dr. Has told me (huyu specialist wa magonjwa ya ngozi hapa South Africa) kuwa ni allergy tu.
Nikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.
Inawezekana moja ya wale samaki ndiye alinisababishia allergy. Sasa nilimjulisha Mzee. Alinikasirikia sana kuwa naendaje China bila Dr. Wangu. Actually nimekuwa nikijaribu kuishi maisha kama ya watu wengine ila mzee hataki kabisa.
Anataka nikiwa naenda sehemu niende na Dr. Mwanasheria,Secretary,Mpishi na Mhudumu binafsi.
Sometimes naona hii ni kama kujiweka hadharani kuwa nina vijicent jambo ambalo si sawa. Napenda kuishi tu maisha simple. Na amelalamika kuwa why nimeenda kutibiwa South Afrika wakati Madkatari wa familia yetu wapo USA?
Tatizo la Mzee hawaamini kabisa watu wa Africa. Toka siku ambayo aliensa Barber shop moja akawaambia wamnyoe nywele style flani wakakosea kidogo basi hana imani kabisa na professionals wa Afrika.
Sasa huu mgogoro umeanzia last week aliponiuliza Dereva wangu yupo wapi maana aliniona naendesha gari peke yangu kwenda Bagamoyo.nikamwambia anaumwa mafua amelazwa Aga Ghan wanamwangalia kwa ukaribu. Akaniuliza ya wapi nikamwambia ya hapa hapa Dar.
Alifoka sana kuwa inakuaje Dereva anaumwa analazwa Aga Khan Zahanati. Nikamwambia ni Hosp akawa mbogo na kuuliza namlipa tsh ngapi. Kwa kweli Dereva wangu nikiri kuwa namlipa tsh 15,000,000 kwa mwezi. Ila namsomeshea watoto wa ndugu zake wote shule ya International School ya Feza.
Na watoto wake wa 4 namsomeshea IST. Namlipia kodi ya nyumba hapa Oysterbay na kila mwisho wa mwezi namfanyia shopping. Mzee analaumu kuwa nimeanza kuwa mbahili. Kwanza namtibu Dereva Zahanati, pili namlipa kamshahara kadogo so anaweza akawa ananiendesha huku ana mawazo.
Sasa kumwambia natibiwa South Afrika yeye anaamini ni sababu nabana matumizi..kumbe siyo. Napenda niishi maisha simple tu kama watanzania wengine maskini. South Africa si mbaya kwa huduma ya Afya.
Sasa hili la hii chunusi limemtibua kabisa. Anataka nichague kuishi katika nyumba zetu za China,Canada,Sweden,Belgium,USA,Uk,Russia,Germany,Switzerland,Norway,Egypt au South Africa.
Namkatalia sababu hayo majumba ni makubwa sana mtu unaishi kwenye nyumba ambayo Rais wa hizo nchi husika akiwa na mawazo au amechoka anakuja kuomba kwetu akapumzike sehemu za nyumba zetu hizo. Wengi wanadai ni nyumba zaidi ya Ikulu za marais wa nchi hizo.
Maisha hayo ya upweke na kujikuta nimezungukwa tu na wafanyakazi mabint warembo bikra ambao wapo tayari kunipa huduma yoyote nitakayo. Maisha hayo yananishinda. Naona bora nije kujifunza maisha magumu na ya maskini wanaokaa huku Oysterbay.
Mniombee ndugu zangu mzee anielewe. Afahamu hata huku Afrika kuna maisha. Siyo walimvyokosea yeye huko kwa kinyozi basi ndo maisha yote wapo hivyo. Pia mniombee haka kakipele kapone maana naona kananipa mwonekano mbaya. Actually nikivaa shati la mikono mirefu hakaonekani but sijisikii tu comfortable kuwa na pimple.