Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Wale wavaa soksi za rangi rangi wanaoshindwa pale post madalali wa kuuza zile nyumba za osterbay, mbezi beach,upanga, ukonga,mikocheniHivi huwa anafanya biashara gani?
Ajabu sana Lugano wote ni wanyakyusa sasa hyu na sifa za uhayani kazizoa wapi jamaniMhaya kwa sifa
🤣🤣🤣🤣Ajabu sana lugano wote ni wanyakyusa sasa hyu na sifa za uhayani kazizoa wapi jamani
Haka ni kapuuzi flani kamelewa jana kameamua kuja kutuchosha.Matajiri hawa disclose financial matters zao
Haka kapuuzi huwa kanafurahisha, huwa hakatukani mtu.Haka ni kapuuzi flani kamelewa jana kameamua kuja kutuchosha.
Siajabu beach ya Mombasa haijuiTunahitaji katiba mpya. Haiwezekani husikilizi maelekezo ya Mzee.
Ungetakiwa upewe adhabu ya kukaa beach za Ibiza kwa masaa mawili. Ile hali ingekukomesha na kuanza kufata kila anachokuambia mzee.
Sawa zingatia mambo haya.Bil lugano najua nina umri mkubwa kuliko wewe ila ukipenda ni adopt niwe mtoto wako
Nimepanda ndege first class [emoji1][emoji1]Matajiri hawa disclose financial matters zao
Ukiyazoea huyasemiNimepanda ndege first class [emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23] nilivyoona hilo tu nikaone ngoja niwe msomaji wa komentsi tuNimepanda ndege first class [emoji1][emoji1]
Namba 10Sawa zingatia mambo haya.
1. Leta mwanasheria wako
2. Daktari wako toka siku umezaliwa na mafaili yako(taarifa yako ya afya)
3. Niandikie Insha unapenda kuwa nani kurasa 3 tu
4. Historia ya ukoo wenu vizazi viwili nyuma.
5. Niandikie pia unapenda kuishi sehemu gani duniani pages 2 tu.
6. Elimu yako na shule ulizosoma ili kama si international Class 1.(executive schools) ukaanze kusoma upya.
7. List ya majina na ndugu zako na kazi zao.
8. Maeneo ambayo umewahi ishi na nchi ambazo umetembelea.
9. Kawaida ya milo yako kwa siku na mpishi wako aelezee kwa nini amekuwekea ratiba hiyo
10. Kama umewahi fanya kazi malipo yako yalikuwa tsh ngapi. Ili nione kama nawe utakuwa mmoja ya wale ambao nawasaidia wameathirika kisaikolojia kwa kupokea mshahara chini ya Mil 10 kwa mwezi.
Bugatti has released the most expensive car in the world
Unique supercar La Voiture Noire, built in a single copy.
The cost of the model is 16.5 million euros