Niombeeni ndugu zangu, nina ugonjwa wa ajabu

Leo ndio nimejua Bill Lugano ni mtoto wa @kidukulilo
 
Leo ndio nimejua Bill Lugano ni mtoto wa @kidukulilo
Hapana ni mtu mmoja
 
Mimi ni ile thread yake tu kuhusu nyumba ya mengi yani nilipoisoma may 11 2019 nilicheka balaa .
 
Katika mambo ambayo hutakiwi kuyaletea masihara 1-MARADHI. Tena Kichwa cha Habari ulichokiweka.

Wapo wanaohitaji kuandika hiko kichwa cha Habari na wakiwa kweli ni wahitaji ila wengine wanashindwa kulingana na hali zao.

Kuwa Makini na Masihara na sio kila kifurahisha watu ni Haki yako kukifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…