Nionavyo juu ya watia nia ndani ya CHADEMA-UENYEKITI

Nionavyo juu ya watia nia ndani ya CHADEMA-UENYEKITI

Wilson Gamba

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
808
Reaction score
878
Mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa ila ni mfatiliaji mzuri wa masuala ya siasa.Mbowe na Lisu ni viongozi wazuri na wote wamepitia mengi sana ila kwa ukomavu na utulivu wa mambo nafasi ya mwenyekiti bado mbowe atabaki kuwa the best.Niishie hapo ni mtizamo wangu tu mawazo bila kupepesa macho.
 
Mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa ila ni mfatiliaji mzuri wa masuala ya siasa.Mbowe na Lisu ni viongozi wazuri na wote wamepitia mengi sana ila kwa ukomavu na utulivu wa mambo nafasi ya mwenyekiti bado mbowe atabaki kuwa the best.Niishie hapo ni mtizamo wangu tu mawazo bila kupepesa macho.
Ngoja tuone mkuu
 
Mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa ila ni mfatiliaji mzuri wa masuala ya siasa.Mbowe na Lisu ni viongozi wazuri na wote wamepitia mengi sana ila kwa ukomavu na utulivu wa mambo nafasi ya mwenyekiti bado mbowe atabaki kuwa the best.Niishie hapo ni mtizamo wangu tu mawazo bila kupepesa macho.

Wewe ni Ccm
 
Utajijua mwenyewe,sisi tumeamua kutafuta mwanzo mpya.
 
Mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa ila ni mfatiliaji mzuri wa masuala ya siasa.Mbowe na Lisu ni viongozi wazuri na wote wamepitia mengi sana ila kwa ukomavu na utulivu wa mambo nafasi ya mwenyekiti bado mbowe atabaki kuwa the best.Niishie hapo ni mtizamo wangu tu mawazo bila kupepesa macho.
sasa ukae kwa kutulia,
subiri maporokomo ya mvua ya matusi kutoka kwa wadau wenye mihemko wasio penda kuona ukweli huru kama huo 🐒
 
Natamani mabadiliko, hata kitanda huwa kinabadlishwa kuwasumbua wachawi.
 
Back
Top Bottom